Pre GE2025 Mbowe na genge lake wanapofanya yale wanayolalamikia CCM, wanapoteza justification ya kulalamika chaguzi zijazo

Pre GE2025 Mbowe na genge lake wanapofanya yale wanayolalamikia CCM, wanapoteza justification ya kulalamika chaguzi zijazo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa kweli inasikitisha sana,hawa ndio tuwape Nchi kweli?
 
Ndiyo sasa tuelewe kwanini vijana wanakuwa machawa wa CCM. Maana unaweza kupoteza maisha ukidhani unapigania course fulani kumbe unapigania ndoto binafsi za tumbo la mtu fulani.
Vijana wengi nahisi wamegundua hilo ndiyo maana wamegeuka machawa wa CCM kwa kasi ya ajabu na tegemea wengi zaidi kuwa machawa.
Maana si kwa hii ILLUSION inayo tokea ukimuuliza mtu Kama MDUDE CHADEMA for all this year's alikua ana pambania kitu gani?!

Nimekumbuka kitabu Cha "A MAN OF THE PEOPLE" By Chinua Achebe
Mambo ya irresponsible leader, politics, corruption and underdevelopment in Africa ni muda Sasa mbowe kupumzika aachie gurudumu kwa wengine.
 
Maana si kwa hii ILLUSION inayo tokea ukimuuliza mtu Kama MDUDE CHADEMA for all this year's alikua ana pambania kitu gani?!

Nimekumbuka kitabu Cha MAN OF THE PEOPLE
Kabisa na unakuta mtu alishawahi kuwa approached na chama akapewa ahadi ya ulaji akakataa leo anagundua alikuwa anapigania kitu kisichokuwepo.
Kijana, achana na wana siasa na ndoto zao kama unaingia kwenye siasa pigania ndoto zako tu.
 
Yeriko huyo huyo anayelalamika polisi kutumia nguvu leo anawambia chadema wenzake kuwa watawavunja wasisogee.
CCM ikisema baada ya kupiga kura nenda nyumbani hakuna kulinda kura utawasikia wakilalamika.
Sema karma ni mbaya na hapa naona ule usemi wa mbowe ana wateka wenzake unaweza kuwa kweli
 
Lakini, tulitegemea nini kwa mtu anayeng’ang’ania madaraka? Atafanya chochote kuendelea kubaki kuwa Mwenyekiti.

Nitashangaa kama Lissu hakuwa na plan juu ya yote haya yanayoendelea.
Umenena vyema Nifah. Mtu ambaye anajua kabisa kuwa watu hawamtaki aendelee kuwaongoza, halafu ukaona anang'ang'ania kugombea maana yake amejiandaa kutumia njia zote, chafu na halali, ili aendelee.
 
Kabisa na unakuta mtu alishawahi kuwa approached na chama akapewa ahadi ya ulaji akakataa leo anagundua alikuwa anapigania kitu kisichokuwepo.
Kijana, achana na wana siasa na ndoto zao kama unaingia kwenye siasa pigania ndoto zako tu.
Mfano dogo PAMBALU kipindi Cha kuunga mkono juhudi alikataa donge nono la JPM

PERHAPS ANGEKUA HATA DC MAHALI MUDA HUU..

This time GIZA likishinda NURU ndio itakua Mara ya kwanza wakunja ngumu wa CHADEMA kugutuka kua kujitoa kwa ajili ya harakati za CHADEMA ni BIG SCAM.

Ni maoni na maombi yetu GIZA lishindwe na NURU.

VINGINEVYO SIASA ZA CHADEMA FOR ALL THIS YEAR'S ILIKUA NI SCAM.
 
Mfano dogo PAMBALU kipindi Cha kuunga mkono juhudi alikataa donge nono la JPM

PERHAPS ANGEKUA HATA DC MAHALI MUDA HUU..

This time GIZA likishinda NURU ndio itakua Mara ya kwanza wakunja ngumu wa CHADEMA kugutuka kua kujitoa kwa ajili ya harakati za CHADEMA ni BIG SCAM.

Ni maoni na maombi yetu GIZA lishindwe na NURU.

VINGINEVYO SIASA ZA CHADEMA FOR ALL THIS YEAR'S ILIKUA NI SCAM.
Aisee huenda sultan ana maslahi makubwa katika chama. Hivi katika haya yote mbona Mnyika halaumiwi? Maana nadhani naye ni mshirika wa sultan.
 
Aisee huenda sultan ana maslahi makubwa katika chama. Hivi katika haya yote mbona Mnyika halaumiwi? Maana nadhani naye ni mshirika wa sultan.
Mbowe anaogopa kufurushwa chamani/ fear ya kupoteza chama chake alicho kifanya kuwa chadema na ndio maana for years mtu alie taka kile cheo alifukuzwa pia Kuna tuhuma za kuuwawa kwa chacha wangwe..

Alale MAHALI pema chacha wangwe na ni wosia kwa wanamageuzi/ wapinzani wa kweli na wataka mabadiliko ya dhati tujipangee....

Mbowe akishinda Basi hakuna Tena upinzani imara ndio maana CCM na mama Abdul wanamtaka mbowe kwa kua wanajua CHADEMA kikichagua NURU mama Abdul atakua na mchuano mgumu Sanaa kupita Kama KIONGOZI wa JMT
 
Mbowe anaogopa kufurushwa chamazi na ndio maana for years mtu alie taka kile cheo alifukuzwa pia Kuna tuhuma za kuuwawa kwa chacha wangwe..

Alale MAHALI pema chacha wangwe na ni wosia kwa wanamageuzi/ wapinzani wa kweli na wataka mabadiliko ya dhati tujipangee....

Mbowe akishinda Basi hakuna Tena upinzani imara ndio maana CCM na mama Abdul wanamtaka mbowe kwa kua wanajua CHADEMA kikichagua NURU mama Abdul atakua na mchuano mgumu Sanaa kupita Kama KIONGOZI wa JMT
Kitu ambacho anasahau, kwa sasa wanamhitaji kwa sababu ya kuogopa upinzani, kama hakuna upinzani imara atakuwa sawa na tishu tu maana hawana kazi naye tena.
 
Wanataka katiba mpya na uongozi unaofuata sheria yaani katiba ya nchi, pamoja na uchaguzi huru na wa haki, yaani demokrasia hadi chama kinaitwa chama Cha demokrasia na maendeleo, kikikiki
 
Back
Top Bottom