Mbowe na kisa cha farasi aliyembeba Yesu kuingia Bethelehemu

Mbowe na kisa cha farasi aliyembeba Yesu kuingia Bethelehemu

Bushesha jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
675
Reaction score
690
Yesu Mwokozi wa Wakristo enzi za harakati zake za kufundisha alifika mji aliozaliwa Bethelehemu akiwa amebebwa na Farasi ikiwa aina ya usafiri aliotumia.

Farasi yule alishangaa kwa furaha wakati akiingia katika mji ule kuona watu wamejitokeza wamejipanga barabarani na wengine wakitandika nguo zao katika njia aliyokuwa anapita naye akawa anapita akikanyaga zile nguo (ingekuwa sasa tungesema red carpet)

Farasi yule alifurahi huku akiwa na Imani kuwa hizo anatandikiwa yeye hakujua kuwa ni kwa ajili ya aliyembeba.

Baada ya ziara hiyo Siku moja, Farasi aliamua kurudi tena katika mji ule akiwa pekee yake, safari hii alishangaa sana maana hakuna watu waliojitokeza kumlaki wala hakuna mtu aliyemtandikia nguo, na mbaya zaidi alivyojaribu kujipenyeza katika mji huo alifurushwa kwa bakora za kutosha bila huruma.

Mh. Spika amenukuliwa akisema kwamba Mbowe amejitengenezea ufalme ambao haukubaliki; ambapo Mhe. Ndugai alifananisha amri na zile za jeshi "wabunge kushoto, kulia, nyuma geuka, simama inama" n.k

Nakubaliana kabisa na Mhe. Spika katika hili, Mbowe hajakugundua kuwa hali imebadilika wakati ule alipokuwa na washauri wazuri na wakati wakiwa agenda muhimu kwa Taifa alipokelewa vizuri kwa sababu ya agenda za Utaifa na washauri wazuri waliokuwa wamemzunguka sasa alilewa akifikiri ni yeye.

Leo anataka alivyokuwa anasikilizwa wakati ule iwe hivyo hivyo; anajidanganya atafurushwa kila mahali.

Chadema waache udalali wa nchi, waache udikteta ni upuuzi kuimbisha watu kila anayetofautiana na wewe eti amenunuliwa au msaliti. Kwanini wasaliti wawe wengi kiasi hicho? Kwanini usifikirie kwamba tatizo somewhere.
 
Sawa, tunashukuru kwa kuungana na Ndugai. Je, Ndugai ataungana na wewe kuwa Yesu alipanda FARASI kuingia Yerusalemu? Kama ana dini kama yangu atakukumbusha kuwa ni PUNDA, urudi ukaandike upya hadithi yako.
 
Bushesha jr,

Hakuna mtu mwenye akili anaweza kukubaliana na uvunjifu wa katiba ya nchi unaofanywa na Spika Ndugai, ni uhuni uliopitiliza na atalipia gharama ya uvunjifu huo.
 
Yesu Mwokozi wa Wakristo enzi za harakati zake za kufundisha alifika mji aliozaliwa Bethelehemu akiwa amebebwa na Farasi ikiwa aina ya usafiri aliotumia.

Farasi yule alishangaa kwa furaha wakati akiingia katika mji ule kuona watu wamejitokeza wamejipanga barabarani na wengine wakitandika nguo zao katika njia aliyokuwa anapita naye akawa anapita akikanyaga zile nguo (ingekuwa sasa tungesema red carpet)

Farasi yule alifurahi huku akiwa na Imani kuwa hizo anatandikiwa yeye hakujua kuwa ni kwa ajili ya aliyembeba.

Baada ya ziara hiyo Siku moja, Farasi aliamua kurudi tena katika mji ule akiwa pekee yake, safari hii alishangaa sana maana hakuna watu waliojitokeza kumlaki wala hakuna mtu aliyemtandikia nguo, na mbaya zaidi alivyojaribu kujipenyeza katika mji huo alifurushwa kwa bakora za kutosha bila huruma.

Mh. Spika amenukuliwa akisema kwamba Mbowe amejitengenezea ufalme ambao haukubaliki; ambapo Mhe. Ndugai alifananisha amri na zile za jeshi "wabunge kushoto, kulia, nyuma geuka, simama inama" n.k

Nakubaliana kabisa na Mhe. Spika katika hili, Mbowe hajakugundua kuwa hali imebadilika wakati ule alipokuwa na washauri wazuri na wakati wakiwa agenda muhimu kwa Taifa alipokelewa vizuri kwa sababu ya agenda za Utaifa na washauri wazuri waliokuwa wamemzunguka sasa alilewa akifikiri ni yeye.

Leo anataka alivyokuwa anasikilizwa wakati ule iwe hivyo hivyo; anajidanganya atafurushwa kila mahali.

Chadema waache udalali wa nchi, waache udikteta ni upuuzi kuimbisha watu kila anayetofautiana na wewe eti amenunuliwa au msaliti. Kwanini wasaliti wawe wengi kiasi hicho? Kwanini usifikirie kwamba tatizo somewhere.
Hivi ni kweli CDM hawakuwapa nafasi wabunge waliofukuzwa nafasi kujieleza hata kwa maandishi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi ukichunguza vizuri maeneo mnayotoka ndio maskini zaidi Tz na bado hamjui mchawi wa madhila yenu bado? Mna kazi.
 
Jerusalem sio beithlehem.
IMG_20200405_110315.jpg
 
Yesu Mwokozi wa Wakristo enzi za harakati zake za kufundisha alifika mji aliozaliwa Bethelehemu akiwa amebebwa na Farasi ikiwa aina ya usafiri aliotumia.

Farasi yule alishangaa kwa furaha wakati akiingia katika mji ule kuona watu wamejitokeza wamejipanga barabarani na wengine wakitandika nguo zao katika njia aliyokuwa anapita naye akawa anapita akikanyaga zile nguo (ingekuwa sasa tungesema red carpet)

Farasi yule alifurahi huku akiwa na Imani kuwa hizo anatandikiwa yeye hakujua kuwa ni kwa ajili ya aliyembeba.

Baada ya ziara hiyo Siku moja, Farasi aliamua kurudi tena katika mji ule akiwa pekee yake, safari hii alishangaa sana maana hakuna watu waliojitokeza kumlaki wala hakuna mtu aliyemtandikia nguo, na mbaya zaidi alivyojaribu kujipenyeza katika mji huo alifurushwa kwa bakora za kutosha bila huruma.

...
... acha kudandia usiyoyajua! Bw. Yesu alipanda punda tena aliingia naye Yerusalemu na sio Bethlehemu kama ulivyojitahidi kupotosha ewe mpotosha maandiko unless unarejea "Injili ya Barnaba" maana wafuasi wa Shetani mnaipenda kuliko vitabu vyote.
 
Yesu Mwokozi wa Wakristo enzi za harakati zake za kufundisha alifika mji aliozaliwa Bethelehemu akiwa amebebwa na Farasi ikiwa aina ya usafiri aliotumia.

Farasi yule alishangaa kwa furaha wakati akiingia katika mji ule kuona watu wamejitokeza wamejipanga barabarani na wengine wakitandika nguo zao katika njia aliyokuwa anapita naye akawa anapita akikanyaga zile nguo (ingekuwa sasa tungesema red carpet)

Farasi yule alifurahi huku akiwa na Imani kuwa hizo anatandikiwa yeye hakujua kuwa ni kwa ajili ya aliyembeba.

Baada ya ziara hiyo Siku moja, Farasi aliamua kurudi tena katika mji ule akiwa pekee yake, safari hii alishangaa sana maana hakuna watu waliojitokeza kumlaki wala hakuna mtu aliyemtandikia nguo, na mbaya zaidi alivyojaribu kujipenyeza katika mji huo alifurushwa kwa bakora za kutosha bila huruma.

Mh. Spika amenukuliwa akisema kwamba Mbowe amejitengenezea ufalme ambao haukubaliki; ambapo Mhe. Ndugai alifananisha amri na zile za jeshi "wabunge kushoto, kulia, nyuma geuka, simama inama" n.k

Nakubaliana kabisa na Mhe. Spika katika hili, Mbowe hajakugundua kuwa hali imebadilika wakati ule alipokuwa na washauri wazuri na wakati wakiwa agenda muhimu kwa Taifa alipokelewa vizuri kwa sababu ya agenda za Utaifa na washauri wazuri waliokuwa wamemzunguka sasa alilewa akifikiri ni yeye.

Leo anataka alivyokuwa anasikilizwa wakati ule iwe hivyo hivyo; anajidanganya atafurushwa kila mahali.

Chadema waache udalali wa nchi, waache udikteta ni upuuzi kuimbisha watu kila anayetofautiana na wewe eti amenunuliwa au msaliti. Kwanini wasaliti wawe wengi kiasi hicho? Kwanini usifikirie kwamba tatizo somewhere.
Busara hiyo ya Ndugai imeanza lini?
Siku alipompiga marungu ya kichwa mpaka kuhatarisha uhai wa walokuwa wanagombea nae uteuzi wa kugombea ubunge, alikuwa kausahau upendo uliyohubiriwa na Yesu wa kwenye hiyo bible.
Wala alikuwa hakumbuki kuwapo kwa democracy,na haki za binadamu wenzie?
Kwa kweli hata wewe unaemsikiliza na hata kumnukuu Ndugai, kiwango cha busara yako ndugu yangu, kinaanza kutia shaka sana.
Mungu yupo na wakati wa Ndugai kuja kujibu kuhusu maovu na unyanyasaji aliwatendea watz mbalimbali kwa kutumia vibaya kiti chake, umekaribia sana. Tunamsubiri. Amen
 
Busara hiyo ya Ndugai imeanza lini?Siku alipompiga marungu ya kichwa mpaka kuhatarisha uhai wa walokuwa wanagombea nae uteuzi wa kugombea ubunge, alikuwa kaisahau upendo uliyohubiriwa na Yesu wa kwenye hiyo bible.
Wala alikuwa hakumbuki kuwapo kwa democracy,na haki za binadamu wenzie?
Kwa kweli hata wewe unaemsikiliza na hata kumnukuu, kiwango cha busara yako ndugu yangu, kinatia shaka sana.
Mungu yupo na wakati wa Ndugai kuja kujibu kuhusu maovu na unyanyasaji aliwatendea watz mbalimbali kwa kutumia vibaya kiti chake, umekaribia sana. Tunamsubiri. Amen
Mkuu wakati unakaribia wapi?,ndugai ataendelea kutesa tu Hadi mwisho,labda astaafu kabla ya mda,,yaani hi inaitwa,ushikwapo shikamana...
 
Uyu jamaa akirudi mtanishtua...maana sio kumkosoa kiasi hiko...

Jamaa anatulisha tango pori kabisa kutoka kwa biblia...hii ni hatari.

Au ndio wale buku saba waliopewa vitendea kazi juzi juzi??

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
 
Inawezekana sio chadema tu hata huku kwetu ukenda kinyume na wanavyotaka wao wanasema umetumwa na mabeberu kutaka kuondosha amani ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu Mwokozi wa Wakristo enzi za harakati zake za kufundisha alifika mji aliozaliwa Bethelehemu akiwa amebebwa na Farasi ikiwa aina ya usafiri aliotumia.

Farasi yule alishangaa kwa furaha wakati akiingia katika mji ule kuona watu wamejitokeza wamejipanga barabarani na wengine wakitandika nguo zao katika njia aliyokuwa anapita naye akawa anapita akikanyaga zile nguo (ingekuwa sasa tungesema red carpet)

Farasi yule alifurahi huku akiwa na Imani kuwa hizo anatandikiwa yeye hakujua kuwa ni kwa ajili ya aliyembeba.

Baada ya ziara hiyo Siku moja, Farasi aliamua kurudi tena katika mji ule akiwa pekee yake, safari hii alishangaa sana maana hakuna watu waliojitokeza kumlaki wala hakuna mtu aliyemtandikia nguo, na mbaya zaidi alivyojaribu kujipenyeza katika mji huo alifurushwa kwa bakora za kutosha bila huruma.

Mh. Spika amenukuliwa akisema kwamba Mbowe amejitengenezea ufalme ambao haukubaliki; ambapo Mhe. Ndugai alifananisha amri na zile za jeshi "wabunge kushoto, kulia, nyuma geuka, simama inama" n.k

Nakubaliana kabisa na Mhe. Spika katika hili, Mbowe hajakugundua kuwa hali imebadilika wakati ule alipokuwa na washauri wazuri na wakati wakiwa agenda muhimu kwa Taifa alipokelewa vizuri kwa sababu ya agenda za Utaifa na washauri wazuri waliokuwa wamemzunguka sasa alilewa akifikiri ni yeye.

Leo anataka alivyokuwa anasikilizwa wakati ule iwe hivyo hivyo; anajidanganya atafurushwa kila mahali.

Chadema waache udalali wa nchi, waache udikteta ni upuuzi kuimbisha watu kila anayetofautiana na wewe eti amenunuliwa au msaliti. Kwanini wasaliti wawe wengi kiasi hicho? Kwanini usifikirie kwamba tatizo somewhere.
Hivi alikuwa farasi au punda?
 
Mtu kama huyu akikujia hata kwenye maisha yako anajifanya mjuaji, we msikilize kwa makini tu, akimaliza, hata kama lengo la ajenda yake umeshaijua, wewe jikite kwenye alikoyavuruga, usimjibu hoja zake kabisa. Kwamfano huyu, unajikita kwenye hoja mbili muhimu, moja yule hakuwa farasi bali punda, mbili mji ulikuwa Jerusalemu na sio Bethelehemu. Kila akitaka kujinasua, mnamrudisha hapohapo.

Yupo bwana mmoja alisimamishwa njiani kwa ajili ya ukaguzi wa gari yake, akaanza maneno meeeengi na vifungu vya sheria viiiingi kwamba anapotezewa muda, sheria alizozitaja wala hazihusiani na alichokuwa anakielezea, alipomaliza akaambiwa mzee shuka, lete funguo, kaa pale kwenye mti, shika kitabu hiki hapa cha sheria zetu, tutafutie hizo sheria zako ulizokuwa unatusimulia. Ukizipata utaondoka na tutakufidia muda wako uliopoteza, hiyo ilikuwa saa nne asubuhi, mpaka saa kumi jioni mzee anamwaga kamasi sheria zake hazioni. Aliachiwa baada ya kukiri alighafilika na kuomba radhi.
 
Back
Top Bottom