johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni mkesha kabambe wa mwaka Mpya ambapo viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyama vya Siasa watahudhuria
Mkesha wa " Vuka na Chako" utafanyika tarehe 31/12/2024
RC Chalamila yeye ni kama mwenyeji kwani hata Mkesha uliovunja rekodi ya mahudhurio wa Chako Ni Chako juzikati alikuwepo
Nadhani Mbowe kama atahudhuria itakuwa ni mara yake ya kwanza
Ahsanteni Sana 😃
Mkesha wa " Vuka na Chako" utafanyika tarehe 31/12/2024
RC Chalamila yeye ni kama mwenyeji kwani hata Mkesha uliovunja rekodi ya mahudhurio wa Chako Ni Chako juzikati alikuwepo
Nadhani Mbowe kama atahudhuria itakuwa ni mara yake ya kwanza
Ahsanteni Sana 😃