Mbowe na wafuasi wake hoja, ufafanuzi, kujitetea nk wangeyasema jana kwenye mdahalo.

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kwamba mdahalo wameukimbia?

Kwani Nchimbi walisema je?



Kwa hiyo mwamba ameulaza u nini?

Kama alikuwa na hoja au kujitetea au kutoa ufafanuzi ilikuwapo fursa bora kwake kuliko jana?

Viva CDM kuanza safari mpya free from "chawa wala viroboto!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…