Uchaguzi 2020 Mbowe, nakuahidi kuwa CHADEMA hamtochukua nchi ila wewe utakosa Uenyekiti

Uchaguzi 2020 Mbowe, nakuahidi kuwa CHADEMA hamtochukua nchi ila wewe utakosa Uenyekiti

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
1,257
Reaction score
1,543
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongozi wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.

Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee

Nimeona uzi vijana wa Ufipa wamezianzisha na kusema kuwa jana walikuwa Lumumba wamebahatika kuona malipo ya hao wabunge na posho zao nikasema kweli wajinga ndio waliwao. CCM ipange kununua watu kama kweli inanunua halafu mambo yawe wazi hivyo nikaona hii mfa maji tu haishi kutapa tapa

CHADEMA ifikie hatua na chama chenu muwe mnakisimamia ipasavyo bila hivyo msije kumlaumu mtu

Halafu asilimia kubwa ya viongozi wa CHADEMA sio wazawa wa chama hata mwenyekiti hivi wakipewa shilingi ngapi na CHADEMA mpaka wakaunga juhudi?
 
Umeongea as if Tanzania ni shamba lako, na kwahiyo unaapiza no matter what, shamba lenu hamtampatia!

No wonder hata kuandika vizuri kwa Kiswahili hujui... Hakika Mtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa LA Wajinga Lililopo Nyuma Yake!
 
Acha utoto, analysis ya kitoto. Unadhani kuna mtu wa CCM anapenda anayoyafanya Magufuli? Kuna anyeweza kwenda kinyume na matakwa ya Magufuli? Unadhani wanaomuona kama Mungu inatoka rohoni?
 
Hoja ingekua ya kipuuz usinge kuja kusoma alafu Tanzania wanao jua kusoma na kuandika ni ufipa pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujachelewa, jifunze kuandika vizuri na kwa mpangilio unaoeleweka! Lakini zaidi jifunze kujenga hoja, hizi porojo porojo zisizo na kichwa wala miguu, unatujazia server tu!
 
Mbowe arudie kupiga santuri tu baada ya October hatapata mbunge hata mmoja
Kamuulize kwanza YULE alokimbia ikulu rasmi na kwenda kujificha kule kwao pembeni mwa alikoandaa kaburi lake.

Tunaingia wiki ya tatu ya mwezi wa pili sasa, hata mikutano ya kimitandao na maraisi wengine anakwepa.
 
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongoz wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.

Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee...
Wewe endelea kufanya ushabiki wa ccm kwa malipo unayopata. Ni ujinga mkubwa kusapoti ccm hata baada ya miaka 60 ya kuwa madarakani, aibu sana.
 
CCM hawana Ela ya kunilipa Kwanza hata hawanijui mm ni Nan nafanya Kaz zangu kwa mapenz tu CCM wanilipe watanipa Bei gan
Wewe endelea kufanya ushabiki wa ccm kwa malipo unayopata. Ni ujinga mkubwa kusapoti ccm hata baada ya miaka 60 ya kuwa madarakani, aibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongoz wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.

Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee...

Unazungumzia uenyekiti upi tena ?
 
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongoz wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.

Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee...
Wasukuma mnapambana na Mbowe badala ya kupambana na USHAMBA uliowaja
 
Back
Top Bottom