Uchaguzi 2020 Mbowe, nakuahidi kuwa CHADEMA hamtochukua nchi ila wewe utakosa Uenyekiti

Uchaguzi 2020 Mbowe, nakuahidi kuwa CHADEMA hamtochukua nchi ila wewe utakosa Uenyekiti

Labda ndugu zangu niwape brief kidogo ninyi mnaosema nchi nzima kuanzia kwnye serikali za mitaa hadi taifa tuvae kijani. Kipindi hiki kifupi ambacho CCM imechukua serikali za mitaa tunataabika sana kupata huduma hata ya barua tu kinyume ilivyokuwa wakati mitaa ikiongozwa na CHADEMA. Ku fanya process ya kitu kidogo unaambiwa lipa posho za wajumbe mara muhuri na kadhalika. Pamoja na kufanya hivyo bado uwezekano wa kupata kitu kwa wakati unakuwa mdogo sana sana. Kuna rushwa ya hali ya juu ndani ya serikali za mitaa kuliko kipindi kingine chochote. unakwamishwa na mtendajii wa mtaa au wa kata kama huna hela mfukoni. Wacha CCM ichukue kila mahali corruption index itapanda na uchumi lazima utashuka. kuhalalisha rushwa kulianzia juu tulipoambiwa tuwape traffic hela ya ku brush kiatu. Sasa kitakachowazuai wengine kudai kifuta viatu ni nini? Nchi itarudi reverse ambayo haijawahi shuhudiwa ni suala la muda. Hakuna atakayesema acha na wote watakuwa wanaongea lugha moja
 
Mwaka huu hakuna cha kuchezea uchaguzi wala kuchakachua matokeo jiandae kisaikojia wauaji wakubwa Marekani inawaweka kwenye rada tu.
 
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongozi wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.

Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee

Nimeona uzi vijana wa Ufipa wamezianzisha na kusema kuwa jana walikuwa Lumumba wamebahatika kuona malipo ya hao wabunge na posho zao nikasema kweli wajinga ndio waliwao. CCM ipange kununua watu kama kweli inanunua halafu mambo yawe wazi hivyo nikaona hii mfa maji tu haishi kutapa tapa

CHADEMA ifikie hatua na chama chenu muwe mnakisimamia ipasavyo bila hivyo msije kumlaumu mtu

Halafu asilimia kubwa ya viongozi wa CHADEMA sio wazawa wa chama hata mwenyekiti hivi wakipewa shilingi ngapi na CHADEMA mpaka wakaunga juhudi?
Mkuu uoni kumuandama sana Bw Mbowe huku wewe ukitokea CCM tawala chenye kila aina ya silaha lukuki ni kama unaogopa kivuli chake?
Hatusemi Mh.Mbowe ni malaika,lakini hiyo sekeseke aliopata toka mjomba Magu akalie kiti cha enzi si ndio mmezidi kumuongezea pointi?
Kabomolewa Bilcanas club yake,hadi leo haijajengwa chochote ili kumkomoa,kaharibiwa mazao shambani kwake kisa DC anatafuta URC,kakaa gerezani vipindi vingi tu kwa tuhuma ya uchochezi,kila siku yupo mahakamani hadi amegeuka sugu wa kesi za kisiasa. Mikutano yake mara nyingi imezuiwa hata press conference nazo wanamzuia.Kama haitoshi hata huko bungeni hoja zake zimetupwa kapuni na spika.
Nakushangaa sana wewe kuendekeza ubaguzi wa wazi kwa binadamu mwenzio kuliko hata kaburu wa Africa Kusini.Au unalipwa kujitoa ufahamu?Kumbuka kuna kesho na kuna Mungu.
Siasa sio vita ni nguvu ya hoja.
 
Kwanini tunamuandama shetan wakat Mungu ndie mwenye kila kitu?
Mkuu uoni kumuandama sana Bw Mbowe huku wewe ukitokea CCM tawala chenye kila aina ya silaha lukuki ni kama unaogopa kivuli chake?
Hatusemi Mh.Mbowe ni malaika,lakini hiyo sekeseke aliopata toka mjomba Magu akalie kiti cha enzi si ndio mmezidi kumuongezea pointi?
Kabomolewa Bilcanas club yake,hadi leo haijajengwa chochote ili kumkomoa,kaharibiwa mazao shambani kwake kisa DC anatafuta URC,kakaa gerezani vipindi vingi tu kwa tuhuma ya uchochezi,kila siku yupo mahakamani hadi amegeuka sugu wa kesi za kisiasa. Mikutano yake mara nyingi imezuiwa hata press conference nazo wanamzuia.Kama haitoshi hata huko bungeni hoja zake zimetupwa kapuni na spika.
Nakushangaa sana wewe kuendekeza ubaguzi wa wazi kwa binadamu mwenzio kuliko hata kaburu wa Africa Kusini.Au unalipwa kujitoa ufahamu?Kumbuka kuna kesho na kuna Mungu.
Siasa sio vita ni nguvu ya hoja.
 
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongozi wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.

Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee

Nimeona uzi vijana wa Ufipa wamezianzisha na kusema kuwa jana walikuwa Lumumba wamebahatika kuona malipo ya hao wabunge na posho zao nikasema kweli wajinga ndio waliwao. CCM ipange kununua watu kama kweli inanunua halafu mambo yawe wazi hivyo nikaona hii mfa maji tu haishi kutapa tapa

CHADEMA ifikie hatua na chama chenu muwe mnakisimamia ipasavyo bila hivyo msije kumlaumu mtu

Halafu asilimia kubwa ya viongozi wa CHADEMA sio wazawa wa chama hata mwenyekiti hivi wakipewa shilingi ngapi na CHADEMA mpaka wakaunga juhudi?
Ushauri huo kampe meko na bashiru,membe tu kawatoa puru mpka mmemfukuza ili asimpinge.ccm inaendesha na mtu mmoja hakuna kupingwa au kukosolewa
 
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongozi wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.

Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee

Nimeona uzi vijana wa Ufipa wamezianzisha na kusema kuwa jana walikuwa Lumumba wamebahatika kuona malipo ya hao wabunge na posho zao nikasema kweli wajinga ndio waliwao. CCM ipange kununua watu kama kweli inanunua halafu mambo yawe wazi hivyo nikaona hii mfa maji tu haishi kutapa tapa

CHADEMA ifikie hatua na chama chenu muwe mnakisimamia ipasavyo bila hivyo msije kumlaumu mtu

Halafu asilimia kubwa ya viongozi wa CHADEMA sio wazawa wa chama hata mwenyekiti hivi wakipewa shilingi ngapi na CHADEMA mpaka wakaunga juhudi?
Hivi Mbowe akikosa Uenyekiti ATAKUFA????? Au itakuwa mwisho wa Dunia. Kwanini wapinzani wa CDM hawataki Mbowe awe Mwenyekiti?? Anaejua plz aniambie/ anielimishe
 
Tume Huru ndiyo dawa yenu..uhuni uhuni hatutaki safari hii.
Hizo ni porojo tuu, tume haipigi kura wanapiga watu. Nakufahamisha hata tungepiga kura kwa kujipanga nyuma ya mgombea mtalalamika ila ukweli ni kuwa, sisi wapiga kura kwasasa hatuwaelewi.
 
Hii elimu yetu inatuangusha sana.

Huyu anaweza kuwa ni mtu mwenye digrii kabisa aliyeipata katika vyuo vyetu vikuu nchini.

Na sio ajabu yupo huko ndani ya CCM, ndio makada wategemewa watakaoisimamia hii nchi yetu!
 
Back
Top Bottom