mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
- Thread starter
-
- #41
Hivi Mbowe akikosa Uenyekiti ATAKUFA????? Au itakuwa mwisho wa Dunia. Kwanini wapinzani wa CDM hawataki Mbowe awe Mwenyekiti?? Anaejua plz aniambie/ anielimishe
Hii elimu yetu inatuangusha sana.
Huyu anaweza kuwa ni mtu mwenye digrii kabisa aliyeipata katika vyuo vyetu vikuu nchini.
Na sio ajabu yupo huko ndani ya CCM, ndio makada wategemewa watakaoisimamia hii nchi yetu!
Utopolo mtupu! Hivi umesoma ulichokiandika kabla ya kumruhusu wengine wasome? Uandishi wako ni mbivu kuliko mawazo yake na au vyote vinakwenda sambamba! Hujui ukitaka kuandika Nini kwa kifupi? Hizi shule za Lowassa ni tabu tupu na ndio maana mnaajiriwa na polepole kwa kutumia ukichwa panzi wenu! Hebu kajifunze kujenga hoja badala ya vioja!Mimi yangu macho maana mtu kama kiongozi wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.
Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee
Nimeona uzi vijana wa Ufipa wamezianzisha na kusema kuwa jana walikuwa Lumumba wamebahatika kuona malipo ya hao wabunge na posho zao nikasema kweli wajinga ndio waliwao. CCM ipange kununua watu kama kweli inanunua halafu mambo yawe wazi hivyo nikaona hii mfa maji tu haishi kutapa tapa
CHADEMA ifikie hatua na chama chenu muwe mnakisimamia ipasavyo bila hivyo msije kumlaumu mtu
Halafu asilimia kubwa ya viongozi wa CHADEMA sio wazawa wa chama hata mwenyekiti hivi wakipewa shilingi ngapi na CHADEMA mpaka wakaunga juhudi?
ImechokaKwann wapinzan wa ccm hamtaki CCM iongoze nch
Mimi yangu macho maana mtu kama kiongozi wa chama chenye ushindan huwezi kuamini siasa za kwenye mitandao ukaacha siasa za kijumuia baada ya kuona nyuzi nyingi zimeanzishwa zikiwasema vibaya wale wabunge walioenda bungeni kua wamenunuliwa na CCM.
Nikachoka kabisa nikasema kwa hiyo Mbowe kama kiongozi anashindwa kulimaliza ili tatizo na wabunge wake kwa kuzungumza nao kutaka ku-solve hii ishu kidiplomasia kaamua awatimue kisa tu wameenda tofauti na maagizo yake nikaona hapa kuna tatizo kiongozi kama Mbowe hataki kufanya maamuzi ya busara kisa tu atachekwa na CCM na kina kigogo wanaomuongoza kwenye mitandao nikasema basi CHADEMA tuwaombee
Nimeona uzi vijana wa Ufipa wamezianzisha na kusema kuwa jana walikuwa Lumumba wamebahatika kuona malipo ya hao wabunge na posho zao nikasema kweli wajinga ndio waliwao. CCM ipange kununua watu kama kweli inanunua halafu mambo yawe wazi hivyo nikaona hii mfa maji tu haishi kutapa tapa
CHADEMA ifikie hatua na chama chenu muwe mnakisimamia ipasavyo bila hivyo msije kumlaumu mtu
Halafu asilimia kubwa ya viongozi wa CHADEMA sio wazawa wa chama hata mwenyekiti hivi wakipewa shilingi ngapi na CHADEMA mpaka wakaunga juhudi?