Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"FOLLOW THE MONEY"Inawezekana Freeman Mbowe amejiunga na CCM indirectly kutokana na his selfish ambition ya kutaka kuwa Mwenyekiti wa milele chadema.
Amekubali vipi kumpotezea Lema, Msigwa na Lissu vipi Halima ya John Heche..?
Uzuri ni kuwa wanaoumia ni Chawa wa ccmInawezekana Freeman Mbowe amejiunga na CCM indirectly kutokana na his selfish ambition ya kutaka kuwa Mwenyekiti wa milele chadema.
Amekubali vipi kumpotezea Lema, Msigwa na Lissu vipi Halima ya John Heche..?
Hii ni ajabu.Uzuri ni kuwa wanaoumia ni Chawa wa ccm
'Oh', 'it's been followed'👇🏿"FOLLOW THE MONEY"
Hawa Wanaccm wana kaproject kao kule Lumumba ka kujaribu kutengeneza mtafaruku cdm ili wagombane wakimtumia msigwa lakini Intel. Ya cdm iko makiniSiasa haitaki kuishi kwa hofu, kama huwezi kujiamini wacha kufuatilia siasa utakufa kwa pressure.
Naona wengi wenu mnanena kwa lugha maneno ya ajabu ajabu hayana kichwa wala miguu.
Matapeli wa chadema nimewaambia ukweliKama kusoma na kuandika hujui unadhani kuna atakayekuelewa hapa?
Habari za GeitaMatapeli wa chadema nimewaambia ukweli
You said it all! Sasa inatokea.Inawezekana Freeman Mbowe amejiunga na CCM indirectly kutokana na his selfish ambition ya kutaka kuwa Mwenyekiti wa milele chadema.
Amekubali vipi kumpotezea Lema, Msigwa na Lissu vipi Halima ya John Heche..?
View attachment 3015402