Mbowe ni kiongozi mzuri ila kiroho ameshakataliwa na akilazimisha kutaka kuwa Mwenyeketi itamletea madhara hasi.

Mbowe ni kiongozi mzuri ila kiroho ameshakataliwa na akilazimisha kutaka kuwa Mwenyeketi itamletea madhara hasi.

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Kwanza hongera Sana Mh Mbowe
Pia hongera Kwa uongozi wako wa miaka 20 Kama mwenyekiti wa chadema na miaka 15 Kama Mbunge.


Swala la wewe kuwa mwenyekiti wa hicho chama hautaweza na ukilazimisha itakuletea madhara hasi.

Yapi madhara hasi yatatokea
Utakosa nguvu
Utakosa Sauti ya kusikika
Utapoteza reputation yako
Utakosa wanachama kabisa na waliopo wataondoka.


Nini ufanye , ikifika muda wa kugombea jaribu kujitoa , sisemi umpatie Lissu hila wewe usigombee.

Usidharau sauti za watu
Nature imeshaongea kuwa inatosha .

Kaa chini uisikilize sauti yako ya ndani.
 
CCM inajaribu kuchanga karata zake vizuri Katika Hili lakini ngoma inaonekana ngumu.
Kuna kundi kubwa linataka TAL awe mwenyekiti na kitaalamu ni kama nature nayo ina support Hili.
Ngoja tuone.
 
Yaani wanaotoa sababu kwanini Mbowe mitano Tena, zote ni kinyume na mambo ambayo Chadema inayapigania na imekuwa ikiwaaminisha watu kuyapigania. Nakumbuka prof Kabudi aliwai kunukuu ushauri aliyopewa na mwanazuoni mwenzake, " In public service you must learn to swallow your pride and suppress your ego." Ni kweli Bado mzuri lakini the odd of time and democratic norms is against you.
 
Kwanza hongera Sana Mh Mbowe
Pia hongera Kwa uongozi wako wa miaka 20 Kama mwenyekiti wa chadema na miaka 15 Kama Mbunge.


Swala la wewe kuwa mwenyekiti wa hicho chama hautaweza na ukilazimisha itakuletea madhara hasi.

Yapi madhara hasi yatatokea
Utakosa nguvu
Utakosa Sauti ya kusikika
Utapoteza reputation yako
Utakosa wanachama kabisa na waliopo wataondoka.


Nini ufanye , ikifika muda wa kugombea jaribu kujitoa , sisemi umpatie Lissu hila wewe usigombee.

Usidharau sauti za watu
Nature imeshaongea kuwa inatosha .

Kaa chini uisikilize sauti yako ya ndani.
naunga mkono hoja
hii kwa lugha nyingine muda wa kibali cha Mbowe kuwa Mwenyekiti wa Chadema umekwisha,apishe aje mwingine ila sio lazima lissu。
P
 
Lisu hana ubora wa kumzidi Mbowe kwenye uongozi, CHADEMA bila ya MBowe Juu lazima itayamba kwa sasa mana bado sijaona mbadala wake.
 
Back
Top Bottom