Mbowe ni muongo, wapi kilo ya parachichi huuzwa kwa Tshs 20,000?

Mbowe ni muongo, wapi kilo ya parachichi huuzwa kwa Tshs 20,000?

Una hata bustani? Mbowe ni mkulima? Wewe zaidi ya kushinda kqenye mitandao ya kijaamii kuabudu wanaume wenzako kuna unacho jua?
 
WanaJf,
Salaam!

Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.

Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;

(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Usibishe ndugu kwakuwa tu aliyesema ni mpinzani wako kisiasa. Parachichi moja lile lenye vipele huuzwa kuanzia USD 2.5 huko UK. Sasa unadhani kilo moja ina maparachichi mangapi? Tatizo umejifungia Kakonko kwenye maparachichi ya kienyeji yanayouzwa shs 100 mpaka 200 kwa parachichi moja. Katika muktadha huo, lazima umshangae Mbowe.
 
Huenda hujanielewa.

Yaani kabla hajawaza moto kuwa kule wanauza 20000 lazima wajue mambo mengi kwa mfano.

1. Kuna hatua za kufanya grading, cleaning and packaging.

2. Usafirishaji wake unahitaji refrigerated containers toka umezinunua na unazisafirisha hadi destin inayopelekea.

3. Kuna government charges mbalimbali hapa nchini na kule wanapopeleka.

4. Kuna gharama za clearing na forwarding hapa kwetu na kule zinapoenda.

5. Kuna gharama za usafirishaji toka Njombe hadi bandarini kisha bandarini kwa njia ya meli hadi zinapokwenda. Na kote huko lazima ziwekwe kwenye cold rooms.

Sasa ilitakiwa hao wananchi wapewe factors zote kwenye mnyororo huo wa thamani.

Pia awasaidie namna ya kupata soko bora na bei nzuri.

Kuzungumza tatizo bila kueleza visababishi na solutions zake ni kuendelea kufanya siasa za kuhadaana tu.
Sijaona point yako.
 
WanaJf,
Salaam!

Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.

Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;

(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Kama hujui uliza,hii dunia kuikatisha tuu ni masaa zaidi ya 18,sasa wewe Kaa hapo ukiona jua linazama ukazani hapo ndo mwisho
 
Hata ndizi kilo moja inaweza fika hiyo bei, kama ndizi itauzwa dola 1,
Hiyo ni tofaiti ya exchange rate,,
Mfano newyork unaweza pata coca ni dola 3,, sawa na sh 7500,wakati soda bongo ni sh 500..
Sasa mbowe alitaka parachichi iuzwe bei hiyo dar?
 
WanaJf,
Salaam!

Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.

Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;

(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Hivi Kabende umewahi hata kuuza Mapera ?
 
WanaJf,
Salaam!

Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.

Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;

(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Unakataa nini mbona ndo bei ya soko la dunia kama unge google usinge post maada hii.
 
Parachichi hufanyiwa processing na kuuzwa ile end product mara chache parachichi huuzwa lenyewe kama lenyewe
Hauna akili jombaa. Parachichi inauzwa kama ilivyo. Hiyo end product ni nn?
 
Huenda hujanielewa.

Yaani kabla hajawaza moto kuwa kule wanauza 20000 lazima wajue mambo mengi kwa mfano.

1. Kuna hatua za kufanya grading, cleaning and packaging.

2. Usafirishaji wake unahitaji refrigerated containers toka umezinunua na unazisafirisha hadi destin inayopelekea.

3. Kuna government charges mbalimbali hapa nchini na kule wanapopeleka.

4. Kuna gharama za clearing na forwarding hapa kwetu na kule zinapoenda.

5. Kuna gharama za usafirishaji toka Njombe hadi bandarini kisha bandarini kwa njia ya meli hadi zinapokwenda. Na kote huko lazima ziwekwe kwenye cold rooms.

Sasa ilitakiwa hao wananchi wapewe factors zote kwenye mnyororo huo wa thamani.

Pia awasaidie namna ya kupata soko bora na bei nzuri.

Kuzungumza tatizo bila kueleza visababishi na solutions zake ni kuendelea kufanya siasa za kuhadaana tu.

Sasa hapo kama Mbowe unataka afanye nini?

Wakulima wamegutushwa tayari. Serikali sasa ndiyo ina wajibu kuhakikisha wakulipa wanapewa msaada katika uzalishaji wa parachichi.

Mbegu bora, mbolea na wataalam wa kilimo kuwafundisha na kufuatilia uzalishaji.

Lakini pia kuweka mazingira wezeshi hawa wakulima wapate mikopo benki ili kuboresha na kuongeza uzalishaji pamoja na uhifadhi.

Kutafuta masoko kupitia hizi bilateral agreements na kupunguza msululu kodi na gharama za usafirishaji.

Lakini Bei kwa kilo sio 400, inaanzia 1,200 hadi 2,200 kutegemea na kipindi cha mavuno na ubora wake.
 
WanaJf,
Salaam!

Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.

Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;

(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Ni muongo KULIKO yule yuko kuzimu Tanzania ya viwanda?
 
Back
Top Bottom