Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
ulilompa wewe huko lumumbaMdomo uliponza kichwa mbowe arudishu buyu la asali kwanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulilompa wewe huko lumumbaMdomo uliponza kichwa mbowe arudishu buyu la asali kwanza!
Kasafiri sana kaenda Buza kwa mpalangeWe tangu amezaliwa umewahi kwenda hata Zanzibar?
Usibishe ndugu kwakuwa tu aliyesema ni mpinzani wako kisiasa. Parachichi moja lile lenye vipele huuzwa kuanzia USD 2.5 huko UK. Sasa unadhani kilo moja ina maparachichi mangapi? Tatizo umejifungia Kakonko kwenye maparachichi ya kienyeji yanayouzwa shs 100 mpaka 200 kwa parachichi moja. Katika muktadha huo, lazima umshangae Mbowe.WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Sijaona point yako.Huenda hujanielewa.
Yaani kabla hajawaza moto kuwa kule wanauza 20000 lazima wajue mambo mengi kwa mfano.
1. Kuna hatua za kufanya grading, cleaning and packaging.
2. Usafirishaji wake unahitaji refrigerated containers toka umezinunua na unazisafirisha hadi destin inayopelekea.
3. Kuna government charges mbalimbali hapa nchini na kule wanapopeleka.
4. Kuna gharama za clearing na forwarding hapa kwetu na kule zinapoenda.
5. Kuna gharama za usafirishaji toka Njombe hadi bandarini kisha bandarini kwa njia ya meli hadi zinapokwenda. Na kote huko lazima ziwekwe kwenye cold rooms.
Sasa ilitakiwa hao wananchi wapewe factors zote kwenye mnyororo huo wa thamani.
Pia awasaidie namna ya kupata soko bora na bei nzuri.
Kuzungumza tatizo bila kueleza visababishi na solutions zake ni kuendelea kufanya siasa za kuhadaana tu.
Kama hujui uliza,hii dunia kuikatisha tuu ni masaa zaidi ya 18,sasa wewe Kaa hapo ukiona jua linazama ukazani hapo ndo mwishoWanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Hilo lijamaa ni liongo balaa alimradi tu lipate kura.Acha aendelee kuropoka uongo mwisho atadharaulika kama Lissu
Hivi Kabende umewahi hata kuuza Mapera ?WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Unakataa nini mbona ndo bei ya soko la dunia kama unge google usinge post maada hii.WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Tulia huko kanda ya ziwa sidhani kama unajua Tanzania hapa kuna mihoteli inauza glass ya juice Tsh 20000?Kanda ya ziwa tu tunauziwa parachichi moja 500,Apple 1000.
Hauna akili jombaa. Parachichi inauzwa kama ilivyo. Hiyo end product ni nn?Parachichi hufanyiwa processing na kuuzwa ile end product mara chache parachichi huuzwa lenyewe kama lenyewe
Huenda hujanielewa.
Yaani kabla hajawaza moto kuwa kule wanauza 20000 lazima wajue mambo mengi kwa mfano.
1. Kuna hatua za kufanya grading, cleaning and packaging.
2. Usafirishaji wake unahitaji refrigerated containers toka umezinunua na unazisafirisha hadi destin inayopelekea.
3. Kuna government charges mbalimbali hapa nchini na kule wanapopeleka.
4. Kuna gharama za clearing na forwarding hapa kwetu na kule zinapoenda.
5. Kuna gharama za usafirishaji toka Njombe hadi bandarini kisha bandarini kwa njia ya meli hadi zinapokwenda. Na kote huko lazima ziwekwe kwenye cold rooms.
Sasa ilitakiwa hao wananchi wapewe factors zote kwenye mnyororo huo wa thamani.
Pia awasaidie namna ya kupata soko bora na bei nzuri.
Kuzungumza tatizo bila kueleza visababishi na solutions zake ni kuendelea kufanya siasa za kuhadaana tu.
Ukiwa huna akili huwezi kuionaSijaona point yako.
Hata ufaransaIndia inafika hiyo bei na inaweza Kuzidi.
Kilo 1 parachichi la Mexico kubwa haswa sio hivyo km ngumi ni dola 10.Unaijua bei parachichi moja supermarkets za US?
Ni muongo KULIKO yule yuko kuzimu Tanzania ya viwanda?WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.