Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Wewe hata Kigoma mjini hujawahi kufika.WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Ndugu Kabende, Kiongozi mwenye busara, anapo wapa wananchi taarifa, huwa kwanza anazifanyia research taarifa zake, Na Mbowe ni kiongozi makini. Kuhusu PARACHICHI, nakuwekea links hapa chini za huku Dubai utaona bei tafauti za parachichi, bei zao ziko AED na 1AED=$3.67, Basi utabidilisha mwenyewe alafu jumlisha kwa rate ya TS ujue bei ya hilo zao.WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Unamaanisha nini kaka mkubwa - si mgeni ktk mikoa yote ya Tanzania na agharabu nchi za EAWewe hata Kigoma mjini hujawahi kufika.
Hii ni shule tuwekee takwimu tu, labda unasema mabomu ya kurusha kwa mkonoNenda south korea uangalie wanauza shilingi ngap
Shida kwetu iko ktk usafirishaji - nimeuliza juzi kontena la 40ft kwenda Quingbao China gharama zake ni mkasiKilo 1 parachichi la Mexico kubwa haswa sio hivyo km ngumi ni dola 10.
Hizi parachichi za Kenya kilo ni 2.5.
Hakuna uliko tembea wewe ungekua umetembea usingeshanga kg kua 20000 ni bei ya dunia kwa sasa Acha ubishi azima smatphone u google watanzania tutakua sikuzote tunashangaza,watu wananunua bei hiyo we unashangaa nini ukiambia hujatembea unabisha, hivi wewe umewahi kunywa juice glass 20000 hapa Tanzania?Unamaanisha nini kaka mkubwa - si mgeni ktk mikoa yote ya Tanzania na agharabu nchi za EA
Ungekuwa umeutendea haki uzi wako, kama ungetoa bei mbalimbali za maparachichi katika masoko ya dunia. Vinginevyo, thread yako inaonekana kuwa ni rubbishWanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Ujinga na umasikin ndio mtaji wa CCM!! Imagine mtu kama ww unakuja Jf kutoa milio eti muongo 🤣🤣 kama una akili kwel ulipaswa ulete evidence huko nje parachichi linauzwaje kwa kilo!! Hapo ungepingana na Mbowe kwa facts nasi tungemuona ni mpotoshaji. Btw wewe hapa ndie mpotoshaji!!!WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
dunia kwa sasa iko kiganjani.na hakuna kunakouzwa kilo moja ya parachichi kwa shilingi 800/=.mm najua parachichi moja si chini ya shilingi 500/=.tuache kupotosha watu.tunadanganywa hata bei ya vitu tunavyovijua bei yake!kwa manufaa ya nani?waongee mambo ya kujenga nchi na si ya uongo.wananchi kwa sasa ni waelewa mno ila watu wanataka kuwafanya wajinga.We tangu amezaliwa umewahi kwenda hata Zanzibar?
Ndio hapo anapotosha, 800 manunuzi lakini kodi usafirishaji mpk lifike utakoma.Shida kwetu iko ktk usafirishaji - nimeuliza juzi kontena la 40ft kwenda Quingbao China gharama zake ni mkasi
Mkuu takwimu ni field yangu, na kilimo cha kibiashara zao la avocado ni kazi yangu - changamoto za humu nazijua vizuri kuliko Mbowe wa DubaiWewe mwenyewe huna hizo takwimu na sio mlima Wala mfanyiBiashara hiyo.
Unejilipua tu hapa.
Anaongea pumba tuNdio hapo anapotosha, 800 manunuzi lakini kodi usafirishaji mpk lifike utakoma.
Na mara nyingi huwa yanaharibika kwasababu unapeleka china anapack vizuri anapeleka Ulaya kuuza
Halafu ndio kabisa kwasasa anapiga mikelele angalia hotuba yake juzi huko iringaAnaongea pumba tu
Kama hujatembea ishia kushangaa tu.WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.
Huyo jamaa sidhani kama amewahi vuka mpaka.Unaijua bei parachichi moja supermarkets za US?
Pumba tupu.Ukiwa huna akili huwezi kuiona
Fuatilia wewe mwenzio amekupa dondoo rukia fursa hiyo!WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.