Dubai mbali Nachingwea tuuu hapo parachichi Elfu 2000Kuongea ni rahisi. Basi awatafutie wanunuzi.
Ni kweli bei inayotolewa ni ndogo lakini kuna vitu Freeman hajazingatia.
1. Ubora; watu wetu wanalima kiholela. Hawana traceability ya jinsi zao limelimwa.
2. Kuna gharama za kusafirisha hadi zifike kwenye destination yao.
3. Kuna kodi n.k.
Mfano Dubai Hass Avocado moja linauzwa shilingi 4600.
Nafahamu mwaka jana kilo iliuzwa kwa 1800 sawa na parachichi 4.
Hapo ni sawa na 450 kwa parachichi moja.
Sasa ongeza hizo cost zingine plus risk ya ambazo zitaharibika.
Nimemshauri afanye biashara hiyo - sisi tutampa Avocado kwa 800Fuatilia wewe mwenzio amekupa dondoo rukia fursa hiyo!
Tembea uone. Hapo Bondeni tu parachichi moja ni Tshs 3000.WanaJf,
Salaam!
Amenukuliwa akisema hivi
“Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" -
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa.
Mbowe Freeman ninafahamu kuwa ni mfanyabiashara mzuri tu - kama avocado inalipa huko nje aje anunue parachichi zetu akauze huko apate faida.
(b). Atoe takwimu za uhakika kuhusu usafirishaji wa kilo moja kwa ndege;
(c)Gharama za kiufundi nk
Zaidi ya hapo aache kuupotosha umma.