johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nawaza tu maana sikumbuki uchaguzi ambao Freeman Mbowe aliwahi Kushinda kiushindani Kwenye Chaguzi za Ndani
Hata tulipokuwa Bavicha aliteuliwa tu na Mzee Shanga kuwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa hatukuwahi kumpigia Kura
Lisu anaweza Kushinda 21 January
Jumaa Mubarak 😀
Merry Christmas 🌹
Hata tulipokuwa Bavicha aliteuliwa tu na Mzee Shanga kuwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa hatukuwahi kumpigia Kura
Lisu anaweza Kushinda 21 January
Jumaa Mubarak 😀
Merry Christmas 🌹