Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Habari wanajukwaa, sitaki kuandika sana.
Nimeangalia kongamano la BAWACHA ambalo Mgeni Rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.
Mbowe ameeleza mazito magumu waliyopitia, lakini amesamehe.
Ila karata aliyoicheza inatosha kumuita Profesa wa Siasa.
Nimeangalia kongamano la BAWACHA ambalo Mgeni Rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.
Mbowe ameeleza mazito magumu waliyopitia, lakini amesamehe.
Ila karata aliyoicheza inatosha kumuita Profesa wa Siasa.