Pre GE2025 Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu

Pre GE2025 Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
IMG_2434.jpeg

Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.

"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:

"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."

Pia, Soma:
 
Kamati zake za Roho mbaya z ikiongozwa na Mdee, Boniface, wenje, Sugu na Wilium mungai wapo budy kuandaa uchakachuaji jinsi ya kuiba kura pasipo Upande wa Lisu kuwabainie, Mbowe anagawa pesa kwa Wajumbe kama mvua kuhakikisha uenyekiti unasalia kwake
 
Kwa heshima kubwa aliyokwishajijengea Mbowe, hakustahili kuondoka kwenye uongozi kwa kukataliwa. Japo ni tendo la kidemokrasia hata kuondoka kwa namna hiyo, lakini njia hiyo haileti faraja moyoni kwa mtu aliyekuwa na nafasi kama ya Mbowe.

Lakini waswahili wanasema kupanga ni kuchagua. Kama ameichagua njia hiyo, na haimpi shida moyoni mwake, haina shida maana ndiyo chaguo na matakwa ya moyo wake.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.

"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:

"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."

Pia, Soma:


Aliyewaandika Chadema hii script kuelekea uchaguzi apewe maua yake. Yaani uchaguzi wa chama tena nafasi moja umekua maarufu kuliko uchaguzi wa nchi nzima wa s/mitaa.
Media zimejikua 24/7 zinaripoti habari za Chadema. Jamaa wapeta air time bure katika media karibia zote kubwa kubwa kasoro ile moja ambayo boss akiwaita tu kesho hana kazi🤣🤣🤣
Kwa kweli wamefanikiwa katika hili. Kupata airtime bure kwenye media kubwa kubwa sio kazi rahisi. Uchaguzi umetangzwa huu mpaka upande wa pili nao wametangaza eti uchaguzi ili tu kuchafua magazeti.

Kwenye hili wamefanikiwa japo ni la chama tu na halinanmaslahi yoyote kwa raia wa kawaida. Uchaguzi ukiisha wengi ndio watajua kuwa jamaa walitengeneza stori ili kuteka media na kujitangaza na wala hawana mgogoro wa kweli ndani yao.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.

"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:

"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."

Pia, Soma:


Please let it be..!
 
Aliyewaandika Chadema hii script kuelekea uchaguzi apewe maua yake. Yaani uchaguzi wa chama tena nafasi moja umekua maarufu kuliko uchaguzi wa nchi nzima wa s/mitaa.
Media zimejikua 24/7 zinaripoti habari za Chadema. Jamaa wapeta air time bure katika media karibia zote kubwa kubwa kasoro ile moja ambayo boss akiwaita tu kesho hana kazi🤣🤣🤣
Kwa kweli wamefanikiwa katika hili. Kupata airtime bure kwenye media kubwa kubwa sio kazi rahisi. Uchaguzi umetangzwa huu mpaka upande wa pili nao wametangaza eti uchaguzi ili tu kuchafua magazeti.

Kwenye hili wamefanikiwa japo ni la chama tu na halinanmaslahi yoyote kwa raia wa kawaida. Uchaguzi ukiisha wengi ndio watajua kuwa jamaa walitengeneza stori ili kuteka media na kujitangaza na wala hawana mgogoro wa kweli ndani yao.
Kwenye hili wamefanikiwa japo ni la chama tu na halinanmaslahi yoyote kwa raia wa kawaida. Uchaguzi ukiisha wengi ndio watajua kuwa jamaa walitengeneza stori ili kuteka media na kujitangaza na wala hawana mgogoro wa kweli ndani yao.👌🏿
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.

"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:

"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."

Pia, Soma:


Patrick Lumumba once said “Time limits are good things. No matter how good a dancer you are, you must leave the stage”.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.

"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:

"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."

Pia, Soma:


Kwani kwasasa hafanyi biashara
 
Kamati zake za Roho mbaya z ikiongozwa na Mdee, Boniface, wenje, Sugu na Wilium mungai wapo budy kuandaa uchakachuaji jinsi ya kuiba kura pasipo Upande wa Lisu kuwabainie, Mbowe anagawa pesa kwa Wajumbe kama mvua kuhakikisha uenyekiti unasalia kwake
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.

"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:

"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."

Pia, Soma:


Hakuna kususia Chama!
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.

"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:

"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."

Pia, Soma:


kwahiyo anasusa chama au
 
Back
Top Bottom