MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nimemshangaa sana... CHADEMA inamuingizia hela nyingi sana kupitia ruzuku, michango ya nyumbu, na makato ya wabunge wote kupitia CHADEMA wakiwemo Covid19. Na hela ya CHADEMA ni tamu sana kwa sababu haikatwi kodi.Biashara zake si na CHADEMA imo humo!
Mzee Mdee si aliisha banduliwa?Kamati zake za Roho mbaya z ikiongozwa na Mdee, Boniface, wenje, Sugu na Wilium mungai wapo budy kuandaa uchakachuaji jinsi ya kuiba kura pasipo Upande wa Lisu kuwabainie, Mbowe anagawa pesa kwa Wajumbe kama mvua kuhakikisha uenyekiti unasalia kwake
Sasa aache kuwagawia hawa vidampa wake ile b12 aliyovuta kwa bimkubwa ili akaongeze mtaji kwenye biashara zake hawa kina Yericko na wenzake aachane nao kabisa gari ya Lissu imeshachanganya.Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.
"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:
"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."
Pia, Soma:
TALHivi anafanya biashara gani huyu Mwamba?
NgadaHivi anafanya biashara gani huyu Mwamba?
Pamoja na nyie nyumbu wake.Sasa wasio na la kufanya ndiyo huwa wanahangaika hangaika kupiga majungu kutwa kucha - akina dr. Mihogo
Kaka nakupitia tukamuwekee dhamana jamaa yetu dr, tuonyeshe mshikamano maana tupo katikati ya vita. mbowe lazima ang'oke tu.Pamoja na nyie nyumbu wake.
Iwe kweli aende kwenye biashara zake!Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema atapokea matokeo ya kushindwa katika kinyang'anyiro cha uenyekiti endapo wapigakura watasema hatoshi na atarudi kwenye biashara zake.
View attachment 3197452
Mbowe amesema hayo leo Ijumaa, Januari 10, 2025 alipohojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds.
"Katika legacy ambayo nataiishi ni demokrasia, mfano tunakwenda kwenye uchaguzi ndoto yangu na naomba iwe utakuwa uchaguzi huru kabisa, na utakuwa mubashara hakuna kitakachofanyikia chumbani," amesema Mbowe:
"Baada ya hiyo process (mchakato) wapigakura halali wakisema mwenyekiti Mbowe hatoshi akapumzike nitawashukuru na nitamkumbatia aliyenishinda nitampongeza na nitamtakia heri katika kukiongoza chama chetu na nikitoka hapo narudi kwenye biashara zangu."
Pia, Soma:
Binadamu unakosaje kazi ya kufanya? Watoto wa mama mna shida sana dunianiSasa tusio na la kufanya ndiyo huwa ni shida, kutwa tunahangaika hangaika kupiga majungu mitandaoni - akina dr. Mihogo
umenena vema mkuuKwa heshima kubwa aliyokwishajijengea Mbowe, hakustahili kuondoka kwenye uongozi kwa kukataliwa. Japo ni tendo la kidemokrasia hata kuondoka kwa namna hiyo, lakini njia hiyo haileti faraja moyoni kwa mtu aliyekuwa na nafasi kama ya Mbowe.
Lakini waswahili wanasema kupanga ni kuchagua. Kama ameichagua njia hiyo, na haimpi shida moyoni mwake, haina shida maana ndiyo chaguo na matakwa ya moyo wake.
Nakubaliana na ww kwamba mwamba hana washauri smart.Hana washauri kabisa. Mbowe alipaswa kuachana na haya makitu. Sasa boni yai, Yeriko na ntobi watashauri nini. Nadhani pia waliobaki na mbowe watakuwa watu ambao wako kitengo. Usishangae akina ntobi ni watu wa kitengo. Pia mbowe ukimsikiliza ni kama anatamani kutoka lakini kesharamba asali