Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuuuu,
Mbowe amewaambia wanachama waliokwenda kumhimiza achukue fomu wasiwashambulie kwa kuwatukana waliomtukana na kumfitini, bali wawasamehe. Asema huo ni ushamba tu.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Akisema anataka watoke kwenye uchaguzi huu wakiwa wamoja na siyo kuwa na magape zaidi.
Asema safari hii hataki kutumia maneno ya kutumia sumu aliyotumia kwa Sumaye, safari hii anatangaza upendo.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Mbowe amewaambia wanachama waliokwenda kumhimiza achukue fomu wasiwashambulie kwa kuwatukana waliomtukana na kumfitini, bali wawasamehe. Asema huo ni ushamba tu.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi
Akisema anataka watoke kwenye uchaguzi huu wakiwa wamoja na siyo kuwa na magape zaidi.
Asema safari hii hataki kutumia maneno ya kutumia sumu aliyotumia kwa Sumaye, safari hii anatangaza upendo.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina