Mbowe: Salamu za Heri na Mshikamano kutoka Hai

Mbowe: Salamu za Heri na Mshikamano kutoka Hai

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo:



Kwa hakika:

IMG_20211110_090602_953.jpg


Mungu atatenda.
 
MaCCM yanatutesa wana CHADEMA. Yanatumia majeshi yetu na mamlaka waliojipachika kutuangamiza.
Ila yakifa wao utayasikia yanabana pua eti tuwe wamoja… bladifeken.

Siku yao yaja tutapasuana matumbo tulane maini kama Syria .. InshaAllah 😭😭😭
 
MaCCM yanatutesa wana CHADEMA. Yanatumia majeshi yetu na mamlaka waliojipachika kutuangamiza.
Ila yakifa wao utayasikia yanabana pua eti tuwe wamoja… bladifeken.

Siku yao yaja tutapasuana matumbo tulane maini kama Syria .. InshaAllah 😭😭😭

Sasa hivi wajue nchi wameifikisha mwisho.

Umoja kama Taifa haupo tena. Sasa hivi kwetu wengine mahakamani ni muhimu zaidi kuliko Qatar.

Huo ndiyo ulio ukweli.
 
PIA UKIENDELEA MSTARI WA 24....MUNGU ANASEMA HIVI... 'NA HASIRA YANGU ITAWAKA, NAMI NITAWAUWENI KWA UPANGA,NA WAKE ZENU WATAKUWA WAJANE NA WATOTO WENU YATIMA

Ameen!
 
Hili ni maandiko matakatifu au ni Neno la Bwana? Samahani kwa kuuliza.
 
Kwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo:

View attachment 2007790

Kwa hakika:

View attachment 2007791

Mungu atatenda.
Hayo maneno Sasa yaingizeni katika vitendo, hameni vitandani mwenu na mjitenge na wake zenu muombe tuone majibu kama Yale ya Modekai kugeuziwa kesi nakutundikwa juu ya mti, au Yale ya milango ya gereza kufunguka sijui mnakwama wapi?
 
Hayo maneno Sasa yaingizeni katika vitendo, hameni vitandani mwenu na mjitenge na wake zenu muombe tuone majibu kama Yale ya Modekai kugeuziwa kesi nakutundikwa juu ya mti, au Yale ya milango ya gereza kufunguka sijui mnakwama wapi?

Maneno kuntu kabisa yenye kuhitaji viongozi wenye uthubutu.

JJ tunapasha moto miili kuchukua nafasi ya mtu.

Tukikuomba namba si siku nyingi kutoka leo tambua kuwa kasi haitufurahishi.
 
Hili ni maandiko matakatifu au ni Neno la Bwana? Samahani kwa kuuliza.

Maneno ya bwana wa majeshi ni matakatifu pia.

Ila si maneno yote matakatifu kuwa ni maneno ya bwana.

Kwa mukthadha wa mada hii maneno uluyoyaona humu ni maneno ya bwana ambayo ni matakatifu pia.
 
Back
Top Bottom