Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo:
View attachment 2007790
Kwa hakika:
View attachment 2007791
Mungu atatenda.
Mbowe sio gaidi aachiwe mara moja!Kwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo:
View attachment 2007790
Kwa hakika:
View attachment 2007791
Mungu atatenda.
Mbowe sio gaidi aachiwe mara moja!
PIA UKIENDELEA MSTARI WA 24....MUNGU ANASEMA HIVI... 'NA HASIRA YANGU ITAWAKA, NAMI NITAWAUWENI KWA UPANGA,NA WAKE ZENU WATAKUWA WAJANE NA WATOTO WENU YATIMAKwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo:
View attachment 2007790
Kwa hakika:
View attachment 2007791
Mungu atatenda.
MaCCM yanatutesa wana CHADEMA. Yanatumia majeshi yetu na mamlaka waliojipachika kutuangamiza.
Ila yakifa wao utayasikia yanabana pua eti tuwe wamoja… bladifeken.
Siku yao yaja tutapasuana matumbo tulane maini kama Syria .. InshaAllah 😭😭😭
PIA UKIENDELEA MSTARI WA 24....MUNGU ANASEMA HIVI... 'NA HASIRA YANGU ITAWAKA, NAMI NITAWAUWENI KWA UPANGA,NA WAKE ZENU WATAKUWA WAJANE NA WATOTO WENU YATIMA
Hayo maneno Sasa yaingizeni katika vitendo, hameni vitandani mwenu na mjitenge na wake zenu muombe tuone majibu kama Yale ya Modekai kugeuziwa kesi nakutundikwa juu ya mti, au Yale ya milango ya gereza kufunguka sijui mnakwama wapi?Kwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo:
View attachment 2007790
Kwa hakika:
View attachment 2007791
Mungu atatenda.
Du...wendazao wataongezeka nini? Maana Mungu hapendi kujaribiwa.....Kwenu makamanda na wapenda haki wote popote mlipo:
View attachment 2007790
Kwa hakika:
View attachment 2007791
Mungu atatenda.
Du...wendazao wataongezeka nini? Maana Mungu hapendi kujaribiwa.....
Hayo maneno Sasa yaingizeni katika vitendo, hameni vitandani mwenu na mjitenge na wake zenu muombe tuone majibu kama Yale ya Modekai kugeuziwa kesi nakutundikwa juu ya mti, au Yale ya milango ya gereza kufunguka sijui mnakwama wapi?
Hili ni maandiko matakatifu au ni Neno la Bwana? Samahani kwa kuuliza.
Ndio utapata milo mitatu kwa siku?Mbowe ni gaidi anastahili kunyongwa au kifungo Cha maisha