Mbowe sasa kupumua, Cecil Mwambe amwagiwa sifa na Rais Magufuli mkutanoni na kukaribishwa CCM

Mbowe sasa kupumua, Cecil Mwambe amwagiwa sifa na Rais Magufuli mkutanoni na kukaribishwa CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.

Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.

Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.

Chanzo: TBC

My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
 
Cecil linanipa shida kujua km ni mwanaume au mwanamke
1571234467817.png
 
Mbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.

Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.

Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.

Chanzo: TBC

My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
 
Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
Kama mliweza kumteua mtu agombee urais itashindikana vipi kwa nafasi ndogo ya uenyekiti?
Siku zote naamini wafuasi wa chadema mna uwezo mdogo sana wa kufikiri
Ndio maana mnapinduliwa pinduliwa tu kama chapati
 
Back
Top Bottom