johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaa...... Ungekuwa wewe ungekataa ofa ya Rais ili uongoze Ufipa?!Hata angeliomba kugombea tusingempa kwa sababu inajulikana kwamba lilikuwa ni shamba lá kupitishia maji. Nabaki hukohuko aunge juhudi na.
Cecil ni mwanamme..........Cecilia ni mwanamke!Cecil linanipa shida kujua km ni mwanaume au mwanamke
Cecil linanipa shida kujua km ni mwanaume au mwanamke
Mwananke kwa huku NtwaraCecil linanipa shida kujua km ni mwanaume au mwanamke
Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?Mbowe sasa ana nafasi kubwa ya kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA baada ya mshindani wake Mh Mwambe kutamaniwa na CCM.
Leo kwa mara ya pili Rais Magufuli amesema CCM ilifanya makosa kumuengua Mwambe na matokeo yake wananchi wa Masasi wamekosa maendeleo.
Rais Magufuli amesema moyo wa Cecil Mwambe bado uko CCM na anaweza kuhamia chama tawala hivyo wahafidhina wa chama wasije kumbughuzi kama walivyomfanyia 2015.
Chanzo: TBC
My take: Freeman Mbowe ana bahati ya mtende!
Unahisi jina la "wazee wa kubeba makapi" lilitokana na nini?Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
Cecil linanipa shida kujua km ni mwanaume au mwanamke
Na lowasa mlimpa bendera ya urais baada ya kutemwa ccm.? Kweli bora kuwa mnyama porini kuliko kuwa binadamu ufipa.Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
Kama mliweza kumteua mtu agombee urais itashindikana vipi kwa nafasi ndogo ya uenyekiti?Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
Kama Modest na ModesterCecil ni mwanamme..........Cecilia ni mwanamke!
Kama Joseph na Josephina!
Vipi kuhusu Mheshmiwa Lowassa?Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
Kosa kurudia kosa.Unahisi jina la "wazee wa kubeba makapi" lilitokana na nini?
TulishajifunzaVipi kuhusu Mheshmiwa Lowassa?
Kwani Katibu mkuu mstaafu Dr Slaa alitokea chama gani bwashee?!Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
Soma post # 16&17Kwani Katibu mkuu mstaafu Dr Slaa alitokea chama gani bwashee?!