Mbowe sasa kupumua, Cecil Mwambe amwagiwa sifa na Rais Magufuli mkutanoni na kukaribishwa CCM

Bowe ni pandikizi la ccm nyie hamjui kabisa.
 
Tatizo la muheshimiwa ni mwepesi mno kutoa Siri,cc wtaalamu Huwa tunamuelewa fasta
 
Kuna siku Raisi Magufuli alimsifiaga mbowe jimboni kwake sasa sijajua kama na mbowe alihamia CCM.Cecil kutangaza tu atagombea uenyekiti imekuwa ni nongwa kweli ukitaka kufukuzwa Chadema sema tu unagombea uenyekiti
 
Ningeshangaa sana. Sijawahi kumuamini mtu aliyetemwa na ccm. Heri yule aliyejitoa mwenyewe!
Kumbe wewe ni kilaza hivyo,hivi unafikiri sisi wana Chadema tungemchagua mtu aliyekuja baada ya kutemwa CCM aiongoze Chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…