Pre GE2025 Mbowe: Si kweli kuwa Chadema hakuna ukomo wa uongozi

Pre GE2025 Mbowe: Si kweli kuwa Chadema hakuna ukomo wa uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
"Kwanza nizungumze kitu kinachoitwa ukomo wa madaraka, ndani ya taasisi ya Chadema na ujue Chadema ni chama cha siasa ni kundi la watu ambapo ukijunga na chama chetu kama ambavyo ungejiunga na chama kingine chochote kitu cha kwanza unakubalina na katiba ya chama,"

"chama chetu kimeweka ukomo wa uongozi na si kweli kuwa hakuna ukomo wa uongozi kwahiyo si kweli kwamba hakuna ukomo wa uongozi" - Freeman Mbowe

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Tamaa ni tamaa tuu bila kujali ni mbaya ama nzuri zote ni tamaa.
Uchu ni uchu tuu bila kujali ni uchu wa nini.
Ulaku ni..............
 
Yericko ze big chawa kasema mpaka abebwe na machela kwa uzee ndio ukomo ,
Yani Yericko 😡😡
 
Back
Top Bottom