Mbowe: Siasa ndio msingi wa maisha yetu, tukiipuuza tutaendelea kuongozwa na wajinga tu

Mbowe: Siasa ndio msingi wa maisha yetu, tukiipuuza tutaendelea kuongozwa na wajinga tu

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa;

"Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
Kabisa tuamke watanzania!
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
KUNA ONGEZEKO KUBWA LA WAJINGA NCHI halijui kesho litakula nini na litavaa nini
1664537002242.jpg
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
Wajinga kama wabunge la Mwendazake wanajadili uganga tu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
Yeye mwenyewe mjinga si alilamba zero shule yule dj

USSR
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
Wosia kama huu huu aliutoa Bush Senior kwa Vijana wa marekani mwaka 1992 aliposhindwa uchaguzi kwa Clinton, Siasa siyo ya kupuuza hata kidogo, Vijana lazima mjishirishe, siasa ni kila kitu!!! Mkikaa nyuma kila saa wajinga ndiyo watawapangia mambo ya maisha yenu
 
Back
Top Bottom