Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kabisa tuamke watanzania!Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
KUNA ONGEZEKO KUBWA LA WAJINGA NCHI halijui kesho litakula nini na litavaa niniMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
muamke nyuma ya kiibodi labdaKabisa tuamke watanzania!
Vyote vinatakiwa. Hupendi watu waamke shekhe? Au nyie ndio wachawi wetu nini?muamke nyuma ya kiibodi labda
Wajinga kama wabunge la Mwendazake wanajadili uganga tuMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
Wale wanufaika wa Udikteta hamwezi kujificha kila siku mtaumbuka tumuamke nyuma ya kiibodi labda
Yeye mwenyewe mjinga si alilamba zero shule yule djMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."
nyuma ya kiibodi mtaamka, siyo kule fieldVyote vinatakiwa. Hupendi watu waamke shekhe? Au nyie ndio wachawi wetu nini?
Wosia kama huu huu aliutoa Bush Senior kwa Vijana wa marekani mwaka 1992 aliposhindwa uchaguzi kwa Clinton, Siasa siyo ya kupuuza hata kidogo, Vijana lazima mjishirishe, siasa ni kila kitu!!! Mkikaa nyuma kila saa wajinga ndiyo watawapangia mambo ya maisha yenuMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe jana akiwa mkoani Singida amenukuliwa akionya kuwa " Siasa haipaswi kupuuzwa hata kidogo, ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siasa ndio iliyopelekea uwepo wa tozo, kupanda kwa bei za bidhaa na ugumu wa maisha ambao watanzania wengi wanaupitia sasa. Na kama baadhi ya watanzania wakiendelea kuipuuza siasa basi wategemee kuongozwa na watu wajinga siku zote."