johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa chadema Mh Mbowe akiwa na Chopa amefanya mkutano wa kwanza Kansay Karatu mkoani Arusha
Ndani ya Chopa wamo pia Makamu mwenyekiti mh Tundu Antipas Lisu na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema
Ni Safari ya Matumaini bila Mbambamba
Ahsanteni Sana 😂😂🔥
Ndani ya Chopa wamo pia Makamu mwenyekiti mh Tundu Antipas Lisu na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema
Ni Safari ya Matumaini bila Mbambamba
Ahsanteni Sana 😂😂🔥