shadrackAmri
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 275
- 4,064
hawa wahuni wanataka nini zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi wenye mgogoro mkubwa hulala chumba kimoja na kuchangia kitanda wakiwa ndani wakialikwa pia wanakwend pamoja kama hakuna mgogoro!Zile porojo zenu za Lumumba kuwa CHADEMA kuna mgogoro umeziacha unamrukia Mwanamapinduzi😁😁
Kupishana mawazo ndio Demokrasia yenyewe,ninyi ni lini mnamfukuka Luhaga Mpina?!Wazazi wenye mgogoro mkubwa hulala chumba kimoja na kuchangia kitanda wakiwa ndani wakialikwa pia wanakwend pamoja kama hakuna mgogoro!
As long as wamepanda wote hakuna neno, ni kama vile ilivyokuwa kwa Kim na Putin ile juzi, kila mmoja anataka mwenzake aingie kwanza kwenye gari.Lisu asipande tu hiyo Chupa😃
Mafisi mnazengea chukueni john shibuda au halima mdee hana chama!Kupishana mawazo ndio Demokrasia yenyewe,ninyi ni lini mnamfukuka Luhaga Mpina?!
Si ndiyo Mchungaji ndani ya chama.Mbona hujauliza kuhusu Mnyika mwenye cheo chake ndani ya chadema. Msigwa ni nani chadema hadi utake kumuona?
Na bado hamjasema mtasema tuLisu asipande tu hiyo Chupa😃
Wasanii wale walitumwa ili tusipate muda wa kujadili li bajeti lao la copy and pasteHivi ugomvi wa Mpina na Bashe unaamuliwa lini? Wananchi tunasubiri kwa hamu sana.
By the way hata tungekadili tusingebadili kitu chochote. Maana watanzania si sawa na wakenya, ni mazuzu.Wasanii wale walitumwa ili tusipate muda wa kujadili li bajeti lao la copy and paste