Hayo yameelezwa na Mh.Freeman Mbowe wakati akitoa mrejesho kuhusu hatua zilizofikiwa ktk mazungumzo ya maridhiano baina ya Chadema, Ccm, na serikali.
Kulingana na Mh.Mbowe Chadema ina ajenda au hoja zaidi ya 20 ktk majadiliano yake na upande wa Ccm na serikali. Na
Wakati alipotoa hotuba yake hoja 5 ndiyo zilikuwa zimejadiliwa. Hoja hizo zinahusu Katiba mpya, wafungwa 417 wa Chadema, mikutano ya hadhara ya kisiasa
Unaweza kufuatilia ufafanuzi mrejesho wa mazungumzo ya maridhiano ktk video kuanzia 4:11:18
cc Erythrocyte
Kulingana na Mh.Mbowe Chadema ina ajenda au hoja zaidi ya 20 ktk majadiliano yake na upande wa Ccm na serikali. Na
Wakati alipotoa hotuba yake hoja 5 ndiyo zilikuwa zimejadiliwa. Hoja hizo zinahusu Katiba mpya, wafungwa 417 wa Chadema, mikutano ya hadhara ya kisiasa
Unaweza kufuatilia ufafanuzi mrejesho wa mazungumzo ya maridhiano ktk video kuanzia 4:11:18
cc Erythrocyte