Mbowe uling'ang'ania lockdown, umeona kilichotokea kwenye uchumi wa Kenya?

Mbowe uling'ang'ania lockdown, umeona kilichotokea kwenye uchumi wa Kenya?

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa, wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!

Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga, leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka, hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida.
 
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa ,wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!
Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.
Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga , Leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka ,hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida!
Mbona Sukuma gang mnalazimisha vitu ambavyo havina msingi?

Kenya kulikuwa na lockdown gani ya kuathiri Uchumi?
 
Hizi ndiyo tunasema akili za tumboni na chawa kushindwa kutafakari kwenye Uchafu,Wewe ulifanya wapi tafiti ukagundua Uchumi wa Kenya umefikia hapo kwasababu ya LockDown?Mbona Rwanda waliofanya Lockdown nzito hawajafikia hapo?

Genge mpaka muda huu hamuamini kuwa Mungu kachukua nafasi yake mnaendelea kuabudu Binadamu,nenda kajambe mbele huko usituchafulie hali ya hewa hapa.
 
Hizi ndiyo tunasema akili za tumboni na chawa kushindwa kutafakari kwenye Uchafu,Wewe ulifanya wapi tafiti ukagundua Uchumi wa Kenya umefikia hapo kwasababu ya LockDown?Mbona Rwanda waliofanya Lockdown nzito hawajafikia hapo?

Genge mpaka muda huu hamuamini kuwa Mungu kachukua nafasi yake mnaendelea kuabudu Binadamu,nenda kajambe mbele huko usituchafulie hali ya hewa hapa.
Soma ripoti ya world bank na Imf kuhusu uchumi wa Rwanda baada ya lockdown?
 
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa ,wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!
Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.
Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga , Leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka ,hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida!
Ukumbuke watu wengi sana walikufa!
Mungu Mweñyewe Aliagiza Lockdown!
[emoji116][emoji116]
Isaiah 26:20
[20]Come, my people, enter thou into thy chambers, and shut thy doors about thee: hide thyself as it were for a little moment, until the indignation be overpast.
Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.

Ajabu ni ww Umeiona CDM as if ni waanzilishi wa Lockdown![emoji56][emoji15][emoji12]
 
Ukumbuke watu wengi sana walikufa!
Mungu Mweñyewe Aliagiza Lockdown!
[emoji116][emoji116]
Isaiah 26:20
[20]Come, my people, enter thou into thy chambers, and shut thy doors about thee: hide thyself as it were for a little moment, until the indignation be overpast.
Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.

Ajabu ni ww Umeiona CDM as if ni waanzilishi wa Lockdown![emoji56][emoji15][emoji12]
Mbona hamkufanya sasa hapo ufipa
 
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa, wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!

Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga, leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka, hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida.
Vichwa vyetu vyeupe ikija kwenye uchumi, siyo COVID, ni kwa sababu ya kukopa kulilo uwezo wao, na sasa wanashindwa kuhimili madeni, hasa kutoka China.
 
Soma ripoti ya world bank na Imf kuhusu uchumi wa Rwanda baada ya lockdown?
Kwa taarifa yako Ukuaji wa Uchumi wa Rwanda sisi tuko nyuma yao issue siyo Lockdown ni sera zako za Uchumi unaziwekaje, Projection za ukuaji wa Uchumi zinaonyesha kasi ya Rwanda na Ivorycoast wameshatutupa tayari, sasa kwanini Kenya wanacollapse? Fanyeni tafiti.
 
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa, wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!

Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga, leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka, hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida.
Ongeza sauti mkuu. Kuna watu wana nta masikioni.
 
Kwa taarifa yako Ukuaji wa Uchumi wa Rwanda sisi tuko nyuma yao issue siyo Lockdown ni sera zako za Uchumi unaziwekaje,Projection za ukuaji wa Uchumi zinaonyesha kasi ya Rwanda na Ivorycoast wameshatutupa tayari,sasa kwanini Kenya wanacollapse?Fanyeni tafiti.
Lete ushahidi
 
Kwahiyo niafadhali uchumi wao usingeteteleka au niafadhali Raisi wao angekufa?
 
Back
Top Bottom