Mbowe uling'ang'ania lockdown, umeona kilichotokea kwenye uchumi wa Kenya?

Mbowe uling'ang'ania lockdown, umeona kilichotokea kwenye uchumi wa Kenya?

Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa, wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!

Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga, leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka, hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida.
Bila shaka huyu Mbowe ndiye alikutoa usichana wako maana huishi kumtajataja.
 
Kwenye ishu ya Covid19 Hayati Magufuli alicheza kama Pele. Ni kitu alichokipatia mno. Usipoteze muda kumlaumu Mbowe. Wakati ule alibaniwa sana ulaji wake ndo maana akawa anajiropokea kuhusu lockdown.. kwa sasa hivi umeona akipinga chochote?
 
Ukumbuke watu wengi sana walikufa!
Mungu Mweñyewe Aliagiza Lockdown!
[emoji116][emoji116]
Isaiah 26:20
[20]Come, my people, enter thou into thy chambers, and shut thy doors about thee: hide thyself as it were for a little moment, until the indignation be overpast.
Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.

Ajabu ni ww Umeiona CDM as if ni waanzilishi wa Lockdown![emoji56][emoji15][emoji12]
Ambao hatukujifungia wala kuumwa hii tunaona kama ujinga tu
 
Ambao hatukujifungia wala kuumwa hii tunaona kama ujinga tu
Shukuru bro!
1 Thessalonians 5:18
[18]In every thing give thanks: for this is the will of God in Christ Jesus concerning you.
shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ishu ya Covid19 Hayati Magufuli alicheza kama Pele. Ni kitu alichokipatia mno. Usipoteze muda kumlaumu Mbowe. Wakati ule alibaniwa sana ulaji wake ndo maana akawa anajiropokea kuhusu lockdown.. kwa sasa hivi umeona akipinga chochote?
Hapingi chochote naona anazidi kunenepa tu
 
Shukuru bro!
1 Thessalonians 5:18
[18]In every thing give thanks: for this is the will of God in Christ Jesus concerning you.
shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Acha kusingizia Yesu kwenye mambo ya kijinga
 
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa, wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!

Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga, leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka, hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida.
Chadema ina viongozi wasio na maono
 
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa, wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!

Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga, leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka, hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida.
Watatoa wapi macho ya kuona mbele hao wapinzani na wapingaji wa kila kitu?
 
Ulipoingia ugonjwa wa Corona viongozi wa Chadema kama kawaida yao walilichukulia hilo gonjwa kama gia ya kupatia kiki kisiasa, wakaanza kutoroka bunge na kujifungia, wakalazimisha nchi nzima iwe na lockdown, wakalazimisha chanjo!

Bila kiongozi shupavu Hayati Magufuli bila shaka Tanzania ingefuata mkumbo wa mataifa mengine na kufanya lockdown kwa wananchi kitendo ambacho kingeleta madhara makubwa kwenye uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Rais Magufuli alionya mapema kabisa kwamba hii corona inatumika kama vita ya kiuchumi lakini Freeman Mbowe akapinga, leo uchumi wa nchi zilizofanya lockdown umeanguka, hali ni mbaya mfano Kenya sasa hata mishahara kulipa ni shida.

Huko ambako hamkwenda lockdown unajua walikufa watu wangapi labda akiwamo shujaa mwenyewe na wapambe wake?
 
Hizi ndiyo tunasema akili za tumboni na chawa kushindwa kutafakari kwenye Uchafu,Wewe ulifanya wapi tafiti ukagundua Uchumi wa Kenya umefikia hapo kwasababu ya LockDown?Mbona Rwanda waliofanya Lockdown nzito hawajafikia hapo?

Genge mpaka muda huu hamuamini kuwa Mungu kachukua nafasi yake mnaendelea kuabudu Binadamu,nenda kajambe mbele huko usituchafulie hali ya hewa hapa.
Huyu bwana ni mpumbavu sana kila kukicha anaokoteza vihoja anaviweka hapa. Badala ili mradi yeye amtaje lisu, lema, mbowe nk .
Kama yeye anajua kutetea haki za wqtanzania mbona anatetea magenge ya majambazi akina sabaya?
 
Back
Top Bottom