Pre GE2025 Mbowe umechoka katika fikra zaidi kuliko mwili

Pre GE2025 Mbowe umechoka katika fikra zaidi kuliko mwili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow Tanganyika!!

Uliyoyasikia kuhusu wewe kuchoka Si mwili pekee, Bali Fikra za kuleta uono Mwema wa chama na Nchi chini ya uongozi wako.

1. Kupoteza kumbukumbu ni kiashiria kikuu Cha Mkt Mbowe kuchoka, Ndugu Mbowe umeshasahau kuwa Mwaka 2014 chama chako kimekuwa mstari wa mbele kudai katika mpya na kuheshimu maoni ya wananchi kwamba kuwepo na ukomo wa uongozi katika ngazi zote, watu wastaafu umri ukifika waingie Damu changa na Fikra mpya. Sasa iweje tudai Katiba mpya ilhali iliyopo imeweka ukomo wa Rais kukaa mamlakani wakati CHADEMA hakuna ukomo Kwa nafasi ya mkt wa chama Kwa muda wa uongozi?

2. Ujio wa Lowwassa CHADEMA ulichangia Kwa kiasi kikubwa kuchafua image ya chama mbele ya umma. Haya yote yametokea Ukiwa mkt wa chama.

3. Kuingia na kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, ni Moja ya mapungufu ya uongozi wako, kushindwa Kwa chama chako ni mapungufu ya uongozi wako, yalitokea mambo hayo hayo chini ya Magu 2019, na kwann hukujifunza ukarudia Yale Yale Yale 2024?

4. Kushindwa Kwa maridhiano uliyokiaminisha chama ni mapungufu Yako binafsi kama kiongozi, uliwaamini vipi CCM na kumsafisafisha mkt yule wa upande wa pili Hadi kumwalika Moshi kwenye sherehe za Bawacha?

5. Kuingia katika maridhiano bila idhini ya chama ni jambo la kutiliwa shaka pia, kwanini hukuomba ruhusa uende kwanza nyumbani, ubadili nguo, Kisha uonane na wanachama na viongozi Kisha yafanyike maamuzi ya kuingia katika meza ya maridhiano na CCM? Kwanini kupiga GIA ya angani Toka gerezani Hadi jumba jeupe?

6. Jitihada zako kukemea RUSHWA ndani ya chama ni za chini sana, matumizi na vipaumbele katika matumizi ya pesa za chama pia ni dhaifu, hayo pia ni mapungufu yanayokuhusu kama Mwenyekiti wa CHADEMA.

Ndugu Mbowe, baba Yako wa Ubatizo Mwl Nyerere aliachia Urais kukiwa hakuna mtu maarufu kumzidi, na alikuwa na nguvu pia na uwezo kifikra kuendelea kuwa Rais wa Nchi.

Ushauri: Jitoe mbele ya safari kipindi Cha compaign au subiri MAPINDUZI Toka Kwa vijana Rika la kina Sativa.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
Hellow Tanganyika!!

Uliyoyasikia kuhusu wewe kuchoka Si mwili pekee, Bali Fikra za kuleta uono Mwema wa chama na Nchi chini ya uongozi wako.

1. Kupoteza kumbukumbu ni kiashiria kikuu Cha Mkt Mbowe kuchoka, Ndugu Mbowe umeshasahau kuwa Mwaka 2014 chama chako kimekuwa mstari wa mbele kudai katika mpya na kuheshimu maoni ya wananchi kwamba kuwepo na ukomo wa uongozi katika ngazi zote, watu wastaafu umri ukifika waingie Damu changa na Fikra mpya. Sasa iweje tudai Katiba mpya ilhali iliyopo imeweka ukomo wa Rais kukaa mamlakani wakati CHADEMA hakuna ukomo Kwa nafasi ya mkt wa chama Kwa muda wa uongozi?

2. Ujio wa Lowwassa CHADEMA ulichangia Kwa kiasi kikubwa kuchagua image ya chama mbele ya umma. Haya yote yametokea Ukiwa mkt wa chama.

3. Kuingia na kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, ni Moja ya mapungufu ya uongozi wako, kushindwa Kwa chama chako ni mapungufu ya uongozi wako, yalitokea mambo hayo hayo chini ya Magu 2019, na kwann hukujifunza ukarudiwa Yale Yale?

4. Kushindwa Kwa maridhiano uliyokiaminisha chama ni mapungufu Yako binafsi kana kiongozi, uliwaamini vipi CCM na kumsafisafishi mkt yule wa upande wa pili Hadi kumwalika Moshi kwenye sherehe za Bawacha?

5. Kuingia katika maridhiano bila idhini ya chama ni jambo la kutiliwa shaka pia, kwanini hukuomba ruhusa uende kwanza nyumbani, ubadili nguo, Kisha uonane na wanachama na viongozi Kisha yafanyike maamuzi ya kuingia katika meza ya maridhiano na CCM? Kwanini kupiga GIA ya angani Toka gerezani Hadi jumba jeupe?

Ndugu Mbowe, baba Yako wa Ubatizo Mwl Nyerere aliachia Urais kukiwa hakuna mtu maarufu kumzidi, na alikuwa na nguvu pia na uwezo kifikra kuendelea kuwa Rais wa Nchi.

Ushauri: Jitoe mbele ya safari kipindi Cha compaign au subiri MAPINDUZI Toka Kwa vijana Rika la kina Sativa.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Poe sana kijana kwa uchovu 🐒
 
U
Hellow Tanganyika!!

Uliyoyasikia kuhusu wewe kuchoka Si mwili pekee, Bali Fikra za kuleta uono Mwema wa chama na Nchi chini ya uongozi wako.

1. Kupoteza kumbukumbu ni kiashiria kikuu Cha Mkt Mbowe kuchoka, Ndugu Mbowe umeshasahau kuwa Mwaka 2014 chama chako kimekuwa mstari wa mbele kudai katika mpya na kuheshimu maoni ya wananchi kwamba kuwepo na ukomo wa uongozi katika ngazi zote, watu wastaafu umri ukifika waingie Damu changa na Fikra mpya. Sasa iweje tudai Katiba mpya ilhali iliyopo imeweka ukomo wa Rais kukaa mamlakani wakati CHADEMA hakuna ukomo Kwa nafasi ya mkt wa chama Kwa muda wa uongozi?

2. Ujio wa Lowwassa CHADEMA ulichangia Kwa kiasi kikubwa kuchafua image ya chama mbele ya umma. Haya yote yametokea Ukiwa mkt wa chama.

3. Kuingia na kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, ni Moja ya mapungufu ya uongozi wako, kushindwa Kwa chama chako ni mapungufu ya uongozi wako, yalitokea mambo hayo hayo chini ya Magu 2019, na kwann hukujifunza ukarudia Yale Yale Yale 2024?

4. Kushindwa Kwa maridhiano uliyokiaminisha chama ni mapungufu Yako binafsi kama kiongozi, uliwaamini vipi CCM na kumsafisafisha mkt yule wa upande wa pili Hadi kumwalika Moshi kwenye sherehe za Bawacha?

5. Kuingia katika maridhiano bila idhini ya chama ni jambo la kutiliwa shaka pia, kwanini hukuomba ruhusa uende kwanza nyumbani, ubadili nguo, Kisha uonane na wanachama na viongozi Kisha yafanyike maamuzi ya kuingia katika meza ya maridhiano na CCM? Kwanini kupiga GIA ya angani Toka gerezani Hadi jumba jeupe?

6. Jitihada zako kukemea RUSHWA ndani ya chama ni za chini sana, matumizi na vipaumbele katika matumizi ya pesa za chama pia ni dhaifu, hayo pia ni mapungufu yanayokuhusu kama Mwenyekiti wa CHADEMA.

Ndugu Mbowe, baba Yako wa Ubatizo Mwl Nyerere aliachia Urais kukiwa hakuna mtu maarufu kumzidi, na alikuwa na nguvu pia na uwezo kifikra kuendelea kuwa Rais wa Nchi.

Ushauri: Jitoe mbele ya safari kipindi Cha compaign au subiri MAPINDUZI Toka Kwa vijana Rika la kina Sativa.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Unapiga kura au kelele mtandaoni?
 
mbowe anabebeshwa lawama maamuzi yote yanapitishwa na kamati kuu

mbowe hakua rais/amiri jeshi kwamba anatoa maagizo bila kupingwa bali cabinets ilikaa na lissu .akiwepo

kama mnaondoka chadema nyie ondokeni sisi tupo tutapambana had ukamalifu wa dahari
 
mbowe anabebeshwa lawama maamuzi yote yanapitishwa na kamati kuu

mbowe hakua rais/amiri jeshi kwamba anatoa maagizo bila kupingwa bali cabinets ilikaa na lissu .akiwepo

kama mnaondoka chadema nyie ondokeni sisi tupo tutapambana had ukamalifu wa dahari
Hata hili la kutokuwepo ukomo wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, ni maamuzi ya viongozi wote Lissu akiwemo?

Kwamba waliofungwa wakidai Katiba mpya Ili kuwepo ukomo wa uongozi kuanzia Urais Hadi udiwani, hawakuwa na akili timamu?
 
Hv vyama vya upinzani havina ajenda yoyote zaIdi kupiga dili..ndio maana vimepoteza mvuto kwa wananchi…mbowe ametia aibu sana kutaka kugombea…wamefanya vyama ni vyao….angalia mzee lipumba eti nae kashinda uongozi.
ni muhimu kuheshimu Demokrasia, haki na uhuru wa kila mTanzania,

tamaa ndio kitu mbaya zaidi gentleman 🐒
 
Hellow Tanganyika!!

Uliyoyasikia kuhusu wewe kuchoka Si mwili pekee, Bali Fikra za kuleta uono Mwema wa chama na Nchi chini ya uongozi wako.

1. Kupoteza kumbukumbu ni kiashiria kikuu Cha Mkt Mbowe kuchoka, Ndugu Mbowe umeshasahau kuwa Mwaka 2014 chama chako kimekuwa mstari wa mbele kudai katika mpya na kuheshimu maoni ya wananchi kwamba kuwepo na ukomo wa uongozi katika ngazi zote, watu wastaafu umri ukifika waingie Damu changa na Fikra mpya. Sasa iweje tudai Katiba mpya ilhali iliyopo imeweka ukomo wa Rais kukaa mamlakani wakati CHADEMA hakuna ukomo Kwa nafasi ya mkt wa chama Kwa muda wa uongozi?

2. Ujio wa Lowwassa CHADEMA ulichangia Kwa kiasi kikubwa kuchafua image ya chama mbele ya umma. Haya yote yametokea Ukiwa mkt wa chama.

3. Kuingia na kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, ni Moja ya mapungufu ya uongozi wako, kushindwa Kwa chama chako ni mapungufu ya uongozi wako, yalitokea mambo hayo hayo chini ya Magu 2019, na kwann hukujifunza ukarudia Yale Yale Yale 2024?

4. Kushindwa Kwa maridhiano uliyokiaminisha chama ni mapungufu Yako binafsi kama kiongozi, uliwaamini vipi CCM na kumsafisafisha mkt yule wa upande wa pili Hadi kumwalika Moshi kwenye sherehe za Bawacha?

5. Kuingia katika maridhiano bila idhini ya chama ni jambo la kutiliwa shaka pia, kwanini hukuomba ruhusa uende kwanza nyumbani, ubadili nguo, Kisha uonane na wanachama na viongozi Kisha yafanyike maamuzi ya kuingia katika meza ya maridhiano na CCM? Kwanini kupiga GIA ya angani Toka gerezani Hadi jumba jeupe?

6. Jitihada zako kukemea RUSHWA ndani ya chama ni za chini sana, matumizi na vipaumbele katika matumizi ya pesa za chama pia ni dhaifu, hayo pia ni mapungufu yanayokuhusu kama Mwenyekiti wa CHADEMA.

Ndugu Mbowe, baba Yako wa Ubatizo Mwl Nyerere aliachia Urais kukiwa hakuna mtu maarufu kumzidi, na alikuwa na nguvu pia na uwezo kifikra kuendelea kuwa Rais wa Nchi.

Ushauri: Jitoe mbele ya safari kipindi Cha compaign au subiri MAPINDUZI Toka Kwa vijana Rika la kina Sativa.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
..mtaokota makopo this time wajinga nyinyi, kila kitu kimeelezwa bayana halafu unarudi rudia kuuliza ujinga mtupu! elezea kwanza dola inatumia nini kuumiza vyama vya siasa na wangapi wako tayari kubeba hiyo gharama ya maumivu..mnaongea tu as if political ground iko fair..walikuwepo kina Mtikila na confrotational approach yake..nani alimuunga mkono? unawajua watanzania wewe au umelewa maharage ya jana! acheni upumbavu wa kitoto..not always kila unachotaka kitakuwa, kisipokuwa nyamaza subiri matokeo!
 
..mtaokota makopo this time wajinga nyinyi, kila kitu kimeelezwa bayana halafu unarudi rudia kuuliza ujinga mtupu! elezea kwanza dola inatumia nini kuumiza vyama vya siasa na wangapi wako tayari kubeba hiyo gharama ya maumivu..mnaongea tu as if political ground iko fair..walikuwepo kina Mtikila na confrotational approach yake..nani alimuunga mkono? unawajua watanzania wewe au umelewa maharage ya jana! acheni upumbavu wa kitoto..not always kila unachotaka kitakuwa, kisipokuwa nyamaza subiri matokeo!
Imeandikwa Kwa msingi wa DEMOKRASIA au udikteta?

Kwanini unafokea simu Yako Kwa maneno MAKALI hivyo?

Karibu.
 
Imeandikwa Kwa msingi wa DEMOKRASIA au udikteta?

Kwanini unafokea simu Yako Kwa maneno MAKALI hivyo?

Karibu.
..demokrasia ipi sasa, mnavyoongea ni km dola ni ya malaika..demokrasia ya wangapi wanaoweza kubeba maumivu ya kuwa upinzani? Kwanza Lisu kwa yale yaliyomkuta alipaswa apumzike kwenye active politics abaki kushauri tu!
 
..demokrasia ipi sasa, mnavyoongea ni km dola ni ya malaika..demokrasia ya wangapi wanaoweza kubeba maumivu ya kuwa upinzani? Kwanza Lisu kwa yale yaliyomkuta alipaswa apumzike kwenye active politics abaki kushauri tu!
Sasa ikiwa nafasi ya mkt Haina ukomo watoke wapi wanachama wenye uwezo kubeba maumivu ya kuwa WAPINZANI?

Nani ampe kijiti mwenzie mbio ziendelee kuukaribia Ile Nchi ya ahadi?
 
Mbowe ni pandikizi, sidhani kama Lissu atashinda.
Alaaa kumbe! Kwa hiyo mumemshawishi Mh. Lissu apige penati, huku hamtaki golikipa awepo golini eeeh?
Mbona, kabla Mh. Lissu hajabadili uamuzi wa kuutaka Uenyekiti, hamkuonyesha kuwa hamumtaki Mh. Mbowe auwanie tena uenyekiti?
Nendeni kumstaafisha kupitia boksi la kura!
 
..demokrasia ipi sasa, mnavyoongea ni km dola ni ya malaika..demokrasia ya wangapi wanaoweza kubeba maumivu ya kuwa upinzani? Kwanza Lisu kwa yale yaliyomkuta alipaswa apumzike kwenye active politics abaki kushauri tu!
Sasa ikiwa nafasi ya mkt Haina ukomo watoke wapi wanachama wenye uwezo kubeba maumivu ya kuwa WAPINZANI?

Nani ampe kijiti mwenzie mbio ziendelee kuukaribia Ile Nchi ya ahadi
 
Sasa ikiwa nafasi ya mkt Haina ukomo watoke wapi wanachama wenye uwezo kubeba maumivu ya kuwa WAPINZANI?

Nani ampe kijiti mwenzie mbio ziendelee kuukaribia Ile Nchi ya ahadi?
Huwi mwanachama wa chama fulani sabab unataka kuwa kiongozi..na kwa Tanzania ni vigum sana kupata watu aina ya Mbowe..uvumilivu, kujitoa, kuwa mlezi, na msimamo unaoleta nafuu, sabab kuna misimamo inaleta maumivu kwa wengine..huo ni upande mmoja, upande wa pili ni watanzania wenyewe..wangapi wako tayari kuwa kwenye vyama vya upinzani kwa hali na mali? wachache sana..tena kwa vijana hawa wa leo ndio hakuna kabisa! Aina ya watu unahitaji pia aina ya viongozi wanao-match na aina ya watu..upande wa tatu ni dola, iangalie matendo yake inavyofanyia watu na vyama vya upinzani..je kwa hali hiyo ni wangapi wanashawishika kuwa vyama vya upinzani kwa dhati kabisa? Hivyo si sawa kuangalia muda tu, au kumuangalia Mbowe peke yake..tutizame mambo kwa ujumla wake!
 
Back
Top Bottom