Pre GE2025 Mbowe umechoka katika fikra zaidi kuliko mwili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe amefanya makubwa CHADEMA Hilo halina ubishi,

Shida ni kutuaminisha kuwa bila Mbowe, bila utajiri wake, CHADEMA itapotea,

Huo mkwamo na kizuizi hicho lazima tukivuke ikiwa tunataka kujenga Taasisi imara.
 
Mkuu umeishajiuliza kwanini watu fulani viganganizi kama kupe kutoondoka Chadema wanayodai Mbowe kaiuwa,wasianzishe SACCOS za kwao au kuhamia vyama vingine? Kwa sababu wanajua hawatatoboa.
Why Mbowe? ooh kakaa sana kwenye uwenyekiti,anzisha chama chako uwe Kiongozi Mkuu kama Zito au wenyekiti wa maisha kama wa Profesa Lipumba au kuunda chama ambacho uongozi ni wa mzunguko kama wa Acient Greece democracy.
Au kimbilia basi CCM ukafunzwe leadership code kama utatoboa.
Waacha chuki binafsi kwa sababu ya kutafuta maslahi binafsi,usione vinaeelea vimeundwa.
 
Ww ndio unadhani watu hawakumtaka Mbowe hadi Lisu alipotaka kugombea. Mfano mrahisi ni mimi binafsi, baada ya ujio wa Lowassa hadi leo nimekuwa nikisema Mbowe hastahili kuwa mwenyekiti wa cdm tena.
 
Kwani hiyo cdm kaanzisha Mbowe?
 
Hv vyama vya upinzani havina ajenda yoyote zaIdi kupiga dili..ndio maana vimepoteza mvuto kwa wananchi…mbowe ametia aibu sana kutaka kugombea…wamefanya vyama ni vyao….angalia mzee lipumba eti nae kashinda uongozi.
Mamako ana ajenda gani mbali na kuuwa watu bwabwa wewe.
 
walikuwepo kina Mtikila na confrotational approach yake..nani alimuunga mkono?
Mbona Dr Slaa aliifanya na tulimuunga mkono. Unadhani after Slaa angekuja Heche kwenye ukatibu au Lissu uenyekiti tungekua second fiddle kwa CCM? We need to radicalize our opposition ndio lugha pekee CCM wanaijua, tukiendelea na diplomacy za Mbowe mwakani wataiba tena majimbo yote.
 
Hoja imeungwa mkono na mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…