Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Genius mno jamaa huwezi kumvungia mtu kwa kosa la usaliti wa chama maovu lazima yafichuliwe nidhamu lazima iwepo ndani ya chamaHii kauli niliipenda sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genius mno jamaa huwezi kumvungia mtu kwa kosa la usaliti wa chama maovu lazima yafichuliwe nidhamu lazima iwepo ndani ya chamaHii kauli niliipenda sana.
Stop contradicting yourself:Wacha uchochezi, uchaguzi umekwisha tuna kazi ya kuikabili CCM pamoja. Wewe unaoneka ndiyo adui mkubwa wa chama kwani siku zote unazungumzia watu kuondoka Chadema,nilishakuambia kuwa mtaji wa chama chochote ni wingi wa wanachama na wafuasi kwa vile wewe ni mfuasi wa Mbowe na si Chadema ndiyo maana bado unaleta uchochezi na kutaka mfarakano,sisi ambao tumefanya kazi ya kuhamasisha na kuandikisha wanachama tena kwa kujitolea ndiyo tunajua thamani ya wanachama. Wewe umetanguliza mahaba yako kwa Mbowe tu huna uchungu na hiki chama. Wewe ni adui namba moja wa Chadema. Mbowe bado ni mtu muhimu ndani ya Chadema na mjumbe wa kudumu wa Kamati Kuu. Please stop this nonsense of yours.
Tatizo ulikuwa uchaguzi wa kisasi,Not me! Kuna makundi ya uchaguzi na makundi ya uchaguzi maadui. Tenganisha hayo mawili. Lisu ni kundi adui! Hata Mbowe alisema kuna wakati namwangalia Lisu najiuliza, kweli huyu ni Lisu ninayemfahamu! Unadhani ujumbe huo una message gani?
Kama unampenda sana Mbowe mchukue ukanywe naye chai.Not me! Kuna makundi ya uchaguzi na makundi ya uchaguzi maadui. Tenganisha hayo mawili. Lisu ni kundi adui! Hata Mbowe alisema kuna wakati namwangalia Lisu najiuliza, kweli huyu ni Lisu ninayemfahamu! Unadhani ujumbe huo una message gani?
Hii hata mimi nimejifunza mengi sana,hakika wewe,mimi na hata Mbowe tumejikuta tukijifunza zaidi na zaidi kuhusu huyu mnyama Mwanadamu.Not me! Kuna makundi ya uchaguzi na makundi ya uchaguzi maadui. Tenganisha hayo mawili. Lisu ni kundi adui! Hata Mbowe alisema kuna wakati namwangalia Lisu najiuliza, kweli huyu ni Lisu ninayemfahamu! Unadhani ujumbe huo una message gani?
Mbowe ana busara sana, ni vile tu nyie machawa mlitaka kumpotosha.Kuna watu uliwaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa
Ni
1. Best friends
2. Best family friends
3. Significnt others
akina Lisu, Lema, Heche these three in particular, and a few others.
Si kwa vile wamekuwa washindani wako, ni haki yao, ndiyo demokrasia, hapana bali namna walivyoendesha ushindani wao kwako wameonesha kuwa ni
1. Best enemies to say the list
Moyo wa bindamu ni msitu mnene! nadhani umejifunza ukubwani
Kesho kwenye Kamati Kuu yenu usijisahau kuwa una marafiki umekaa nao!
MBOWE "AMEAGIZA" KUFANYA TRUTH AND RECONSILITION........ UJUE KUWA HAYA YAMETOKEA KWENYE KAMPENI.....
see clip blow
1. Watu waliumizwa
2. Haki za watu zilivunjwa
3. Kulikuwa na uonevu kwa baadhi ya Watu
Chama Cha siasa siyo familia hasa chama kinacho dhamiria kuchukua Dola, lazima kuwe na watu wanao weza kuthubutuKuna watu uliwaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa
Ni
1. Best friends
2. Best family friends
3. Significnt others
akina Lisu, Lema, Heche these three in particular, and a few others.
Si kwa vile wamekuwa washindani wako, ni haki yao, ndiyo demokrasia, hapana bali namna walivyoendesha ushindani wao kwako wameonesha kuwa ni
1. Best enemies to say the list
Moyo wa bindamu ni msitu mnene! nadhani umejifunza ukubwani
Kesho kwenye Kamati Kuu yenu usijisahau kuwa una marafiki umekaa nao!
MBOWE "AMEAGIZA" KUFANYA TRUTH AND RECONSILITION........ UJUE KUWA HAYA YAMETOKEA KWENYE KAMPENI.....
see clip blow
1. Watu waliumizwa
2. Haki za watu zilivunjwa
3. Kulikuwa na uonevu kwa baadhi ya Watu
Najiuliza moyoni mwangu:Sasa hayo mnayoambiana na Mbowe chumbani baki nayo huko huko. Bado unaweweseka. Una mahaba sana na Mbowe. Chadema imeamua Lissu ndiye aliyependwa na kuaminiwa na wanachadema. Unayoongea na Mbowe mbaki nayo huko huko. Pole kwa kuumia. Nyie ndo vijana mnaopenda Pombe na Nyama za Bure. Ni hasara kwa Taifa.
Wewe naona umelewa kama umeshindwa kuelewa nilichoandika sina muda na wewe.Stop contradicting yourself:
Huyo Mbowe umemtaja hivi-
"Kuwa anatanguliza mahaba yake kwa Mbowe hana uchungu na Chadema".
"Mbowe BADO ni mtu muhimu ndani ya chama na mjumbe wa kudumu wa kamati kuu".
Kwanini wasimfuate Mbowe ambaye unamwita MTU MUHIMU kwa sasa ndani ya chama,wafuate nani kama si Alpha na Omega wa Chadema?
Usione vinaelea vimeundwa.
Huyu ana mahaba niue. Nafikiri huyu ni Dr. Lillian Mtei mke wa Mbowe.Mkuu, uchaguzi umeisha. Tuungane tusonge mbele
Binadamu angekuwa hana tumbo angekuwa,mtu mzuri. Lakini tumbo ndio tatizo.Kuna watu uliwaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa
Ni
1. Best friends
2. Best family friends
3. Significnt others
akina Lisu, Lema, Heche these three in particular, and a few others.
Si kwa vile wamekuwa washindani wako, ni haki yao, ndiyo demokrasia, hapana bali namna walivyoendesha ushindani wao kwako wameonesha kuwa ni
1. Best enemies to say the list
Moyo wa bindamu ni msitu mnene! nadhani umejifunza ukubwani
Kesho kwenye Kamati Kuu yenu usijisahau kuwa una marafiki umekaa nao!
MBOWE "AMEAGIZA" KUFANYA TRUTH AND RECONSILITION........ UJUE KUWA HAYA YAMETOKEA KWENYE KAMPENI.....
see clip blow
1. Watu waliumizwa
2. Haki za watu zilivunjwa
3. Kulikuwa na uonevu kwa baadhi ya Watu
Mwache Mbowe apumzike 🐼Kuna watu uliwaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa
Ni
1. Best friends
2. Best family friends
3. Significnt others
akina Lisu, Lema, Heche these three in particular, and a few others.
Si kwa vile wamekuwa washindani wako, ni haki yao, ndiyo demokrasia, hapana bali namna walivyoendesha ushindani wao kwako wameonesha kuwa ni
1. Best enemies to say the list
Moyo wa bindamu ni msitu mnene! nadhani umejifunza ukubwani
Kesho kwenye Kamati Kuu yenu usijisahau kuwa una marafiki umekaa nao!
MBOWE "AMEAGIZA" KUFANYA TRUTH AND RECONSILITION........ UJUE KUWA HAYA YAMETOKEA KWENYE KAMPENI.....
see clip blow
1. Watu waliumizwa
2. Haki za watu zilivunjwa
3. Kulikuwa na uonevu kwa baadhi ya Watu
Wewe unaandika utoto nadhani utakuwa kijana mdogo! That reasoning ni ya kijana mdogo!FAM Yeye anachomlaumu TAL ni kumsaidia makazi w
Uchaguzi umekwisha Chadema imerudi kuwa moja wacha uchochezi.