Amekasirika robert amsterdam anazingua hatumi pesa kama alivyoahidi Mbowe hesabu yake ilikua Membe ila amsterdam akamuomba Mbowe amsimamishe Lissu siku zinakatika amsterdam hajibu barua pepe!
Bali ni kuwa kama Ethiopia?Hamjiulizi kwanin pamoja na Ethiopia kuwa na Ndege na barabara lakini watu wake wanajipakia kwenye makontena kwenda kutafuta maisha nchi nyingine?maendeleo ya taifa sio la raia kuwa na hela mfukoni mkuu.
Vijana wa CCM kama bendi ya taarabu😁😁😁!Mkuu umenifumbua macho, kuna habari mbaya zinaenea kuwa robertison wa Amsterdam hajao,je atakuwa ktk mahusiano ya aina gani
Huyu mleta mada ni kama bendi ya taarabu!Bia yetu, nilishakuzuia kwenye hii mjadala usianzishe nyuzi utaaibika tu! Lissu katushika pabaya!
Mbowe kajeruhiwa sana kisiasa, kiuchumi n.k ni basi tu anakomaa alitakiwa akae nje ya game kidogo ajitibuToka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo ni kaka.
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwasababu hizi.
Mgombea wa Chadema ndugu Lowasa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa chadema alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za Chadema katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia Chadema kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa Chadema kwasababu angekuwa ni assets kwa Chadema ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Hapo alijisahau tu! Alifikiri ameitumia Ile ID nyingine!Hujaridhika na uliyoandika mpaka uwe wa kwanza kujijibu?
Mataga ya lumumba mnahaha sana, hamna hoja ni kupiga porojo!Mna kazi sana kumtetea huyo anayestahili kuwa Nyampara wa barabara na sio rais wa nchi!
Hivi huko lummumba mmeishiwa kabisa, hamna SERA zinazouzika kwa wananchi wanaohitaji maendeleo ?Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo ni kaka.
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwasababu hizi.
Mgombea wa Chadema ndugu Lowasa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa chadema alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za Chadema katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia Chadema kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa Chadema kwasababu angekuwa ni assets kwa Chadema ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Hujaridhika na uliyoandika mpaka uwe wa kwanza kujijibu?
Mataga ya lumumba mnahaha sana, hamna hoja ni kupiga porojo!Mna kazi sana kumtetea huyo anayestahili kuwa Nyampara wa barabara na sio rais wa nchi!
Wewe kampigie kura nyampara wa barabara,wengine kura ni kwa Lissu!Mkuu acha kuweweseka, Mbowe mwenyewe anajua mgombea wa chadema ni galasa ndio maana amenywea
Kumbe na we unajua kabisa ni chama chake[emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuna kiongozi wa chama cha siasa anaetakiwa kupewa tuzo za heshima ni Mbowe. Amekua akipitia seke seke nyingi juu ya chama chake na hakati tamaa Mbowe si mwanasiasa aina ya lijualikali.