Uchaguzi 2020 Mbowe umekumbwa na nini?

Uchaguzi 2020 Mbowe umekumbwa na nini?

Mbowe anajiamini sana, anatuma ujumbe kwenu na yule Sabaya kwamba Hai ni mali yake, ameacha kujifanyia kampeni jimboni kwake anazunguka na Lissu mikoani, naamini anajua Hai ni nyumbani kwake hivyo hatishwi na yeyote, atafanya kampeni hata wiki mbili na atashinda.

Kusema Lissu hauziki ni upofu wa macho na akili.
Anauzika kumbe Chadema kila mtu biashara tu.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe hana raha kabisa nilisalimiana naye hapa shinyanga kwenye ofis za chama hakuwa kwenye hali kabisa ya kampeni
 
Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo nini kaka?

Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.

Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwa sababu hizi.

Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowasa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.

Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.

Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.

Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.

Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.

Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.

Unaweza pia kupanua wigo wa mawazo yako kwamba pengine kazi anayofanya Tundu Lissu ni kubwa mno hivyo mgombea huyo anajiuza mwenyewe.Mbowe pengine ana machache sana ya kusema,mengi ana cover Lissu mwenyewe.Pengine angalia mikutano yote ambayo Mbowe yupo,amekuwa anasikiliza zaidi kuliko yeye kuongea.Kihasilia,Lissu ni muongeaji na ana kipaji cha kufundisha watu(mwalimu).Ni machache sana anaweza kusema Mbowe,hasa yale ya msisitizo wa Chama.Mbowe anamuamini Lissu 100%.
 
Tunahoji mbona Robertson wa Amsterdam hana mke?
Wewe unajuaje huyu ana mke huyu hana, hayo yanatuhusu nini sasa. Why don't you mind your own business?
Shallow minded people always talk about other people.
 
Amekasirika robert amsterdam anazingua hatumi pesa kama alivyoahidi Mbowe hesabu yake ilikua Membe ila amsterdam akamuomba Mbowe amsimamishe Lissu siku zinakatika amsterdam hajibu barua pepe!
Lumumba kwa uongo hamjambo
 
Mbowe anajiamini sana, anatuma ujumbe kwenu na yule Sabaya kwamba Hai ni mali yake, ameacha kujifanyia kampeni jimboni kwake anazunguka na Lissu mikoani, naamini anajua Hai ni nyumbani kwake hivyo hatishwi na yeyote, atafanya kampeni hata wiki mbili na atashinda.

Kusema Lissu hauziki ni upofu wa macho na akili.
Lissu kafika bei kwako, ila sio kwa watanzania walio wengi.
 
Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo nini kaka?

Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.

Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwa sababu hizi.

Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowassa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.

Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.

Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.

Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.

Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.

Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Mwenyekiti wa saccos, kazi anayo pale hai.
 
Back
Top Bottom