Mbowe anajiamini sana, anatuma ujumbe kwenu na yule Sabaya kwamba Hai ni mali yake, ameacha kujifanyia kampeni jimboni kwake anazunguka na Lissu mikoani, naamini anajua Hai ni nyumbani kwake hivyo hatishwi na yeyote, atafanya kampeni hata wiki mbili na atashinda.
Kusema Lissu hauziki ni upofu wa macho na akili.
Huu mweleka unamhusu MUMEWENYU MEKO tarehe 28oct Meko CHALI👷👷👷😂😂😂Unachotakiwa kufanya Mbowe ni kubadili gia angani [emoji3]
Kama kuna kiongozi wa chama cha siasa anaetakiwa kupewa tuzo za heshima ni Mbowe. Amekua akipitia seke seke nyingi juu ya chama chake na hakati tamaa Mbowe si mwanasiasa aina ya lijualikali.
Nasikia arusha alizomewa watu wanamtaka lema.Mbowe anajiamini sana, anatuma ujumbe kwenu na yule Sabaya kwamba Hai ni mali yake, ameacha kujifanyia kampeni jimboni kwake anazunguka na Lissu mikoani, naamini anajua Hai ni nyumbani kwake hivyo hatishwi na yeyote, atafanya kampeni hata wiki mbili na atashinda.
Kusema Lissu hauziki ni upofu wa macho na akili.
Naona ID johnthebaptist, imepunguziwa majukumu baada ya ID hii kurudiToka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo ni kaka.
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwasababu hizi.
Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowasa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Naona ID johnthebaptist, imepunguziwa majukumu baada ya ID hii kurudi
Sayansi na money, bila pesa ni njaa tuKampeni ndio kwanza zina siku ya NNE. Bado siku 56. Kuwa mpole tu. Ndio maana kuna sayansi ya siasa.
Rais Magufuli kaweka vijiji alfu tisa umeme
[/QUOT
Kaweka kwa pesa zake?
Sio alfu sema elfuRais Magufuli kaweka vijiji alfu tisa umeme
Hahahaaaa..... Karibu Channel ten, TBC, ITV Star tv nk ushuhudie mambo ya Kambarage Shinyanga bwashee!Naona ID johnthebaptist, imepunguziwa majukumu baada ya ID hii kurudi
Upo Nchi gani
Rais Magufuli amepeleka umeme kila kijiji
Amepeleka Zahanati kila kijiji
Maji yanapatikana mjini kwa 90%,vijijini kwa 60%
Elimu bure kwa Watanzania
Nyie chadema mkaungane na robertison wa Amsterdam tu [emoji3]kubeba boksi
Ni pesa za umma au za magufuli, tumia akili ulizonazo sio za kuazima, mambo yote anayofanya magufuli ni ilani ya 2015 ya ukawaUpo Nchi gani
Rais Magufuli amepeleka umeme kila kijiji
Amepeleka Zahanati kila kijiji
Maji yanapatikana mjini kwa 90%,vijijini kwa 60%
Elimu bure kwa Watanzania
Nyie chadema mkaungane na robertison wa Amsterdam tu [emoji3]kubeba boksi
Ni pesa za umma au za magufuli, tumia akili ulizonazo sio za kuazima, mambo yote anayofanya magufuli ni ilani ya 2015 ya ukawa