Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Anauzika kumbe Chadema kila mtu biashara tu.Mbowe anajiamini sana, anatuma ujumbe kwenu na yule Sabaya kwamba Hai ni mali yake, ameacha kujifanyia kampeni jimboni kwake anazunguka na Lissu mikoani, naamini anajua Hai ni nyumbani kwake hivyo hatishwi na yeyote, atafanya kampeni hata wiki mbili na atashinda.
Kusema Lissu hauziki ni upofu wa macho na akili.
Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo nini kaka?
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwa sababu hizi.
Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowasa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Wewe unajuaje huyu ana mke huyu hana, hayo yanatuhusu nini sasa. Why don't you mind your own business?Tunahoji mbona Robertson wa Amsterdam hana mke?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Na lissu ni mjanja Uchaguzi ukiisha tu anawakimbia anaenda kula bata na robertison wa Amsterdam [emoji3]
Mnahangaika sana kama Lisu hauziki ni faida kwenu napo mnalalamika.Unachotakiwa kufanya Mbowe ni kubadili gia angani [emoji3]
Lumumba kwa uongo hamjamboAmekasirika robert amsterdam anazingua hatumi pesa kama alivyoahidi Mbowe hesabu yake ilikua Membe ila amsterdam akamuomba Mbowe amsimamishe Lissu siku zinakatika amsterdam hajibu barua pepe!
Not to that extends mngekuwa hamchezi sengeli wazee.Mbowe ndo basi tena....!! Na chama pia kinaishia.BYE BYE Chadema!
Duh! wewe nikikuta peponi naondokaAmekasirika robert amsterdam anazingua hatumi pesa kama alivyoahidi Mbowe hesabu yake ilikua Membe ila amsterdam akamuomba Mbowe amsimamishe Lissu siku zinakatika amsterdam hajibu barua pepe!
Lissu kafika bei kwako, ila sio kwa watanzania walio wengi.Mbowe anajiamini sana, anatuma ujumbe kwenu na yule Sabaya kwamba Hai ni mali yake, ameacha kujifanyia kampeni jimboni kwake anazunguka na Lissu mikoani, naamini anajua Hai ni nyumbani kwake hivyo hatishwi na yeyote, atafanya kampeni hata wiki mbili na atashinda.
Kusema Lissu hauziki ni upofu wa macho na akili.
Mwenyekiti wa saccos, kazi anayo pale hai.Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo nini kaka?
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwa sababu hizi.
Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowassa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Kwanini tuvunje udugu sababu ya vyama!Duh! wewe nikikuta peponi naondoka
Sawa Afisa wa usalamaKwanini tuvunje udugu sababu ya vyama!