Uchaguzi 2020 Mbowe umetia aibu. Jiuzulu, umeporwa jimbo kizembe

Uchaguzi 2020 Mbowe umetia aibu. Jiuzulu, umeporwa jimbo kizembe

Chadema na ACT walipanga kabisa viongozi watoe matamko yatakayowapeleka kuwa chini ya ulinzi na sio kuwa mbele kwenye maandamano.

Maandamano yafanywe na wananchi wasio na uwezo wa kutafakari.Baada ya serikali kuwatahadharisha wananchi na kuwapa elimu sahihi hayakufanyika maandamano.

Jambo pekee lililobaki ni kuadhibu Watanzania wote wakiwemo wanachama wao kwa kuharibu mahusiano ya Tanznaia na jumuia za kimataifa.Hili jambo litawaadhibu pia wao kwani serikali makini haitawaacha wafanye uhuni huu huku wakiwa wanakula bata na Watanzania wanakufa.
 
Wewe ni mgeni nchi hii? Spika alishaanza kusema kitambo kuwa mbowe harudi kwahiyo hiyo ilipangwa toka juu, niambie hizo nchi ulizotaja kuna sehemu wanaweka majeshi mtaani wakati wa uchaguzi?
 
Chadema na ACT walipanga kabisa viongozi watoe matamko yatakayowapeleka kuwa chini ya ulinzi na sio kuwa mbele kwenye maandamano.Maandamano yafanywe na wananchi wasio na uwezo wa kutafakari.Baada ya serikali kuwatahadharisha wananchi na kuwapa elimu sahihi hayakufanyika maandamano.

Jambo pekee lililobaki ni kuadhibu Watanzania wote wakiwemo wanachama wao kwa kuharibu mahusiano ya Tanznaia na jumuia za kimataifa.Hili jambo litawaadhibu pia wao kwani serikali makini haitawaacha wafanye uhuni huu huku wakiwa wanakula bata na Watanzania wanakufa.
Hakuna elimu iliyotelewa zaidi ya kutisha watu na majeshi
 
Kama upinzani bado. Inakula kwetu wote maana upinzani unasaidia watanzania wote kwa kufichua madudu ya CCM. Sasa nani atayafichua baada ya kuua upinzani. Wote tutasoma namba tu. Mateso yakitokea nchini, ambao walichagua CCM na ambao hawakuchagua wote kitu kimoja.
 
Wewe ni mgeni nchi hii? Spika alishaanza kusema kitambo kuwa mbowe harudi kwahiyo hiyo ilipangwa toka juu, niambie hizo nchi ulizotaja kuna sehemu wanaweka majeshi mtaani wakati wa uchaguzi?
Akujibu kwa kweli. Sioni sababu za kumlaumu Mbowe, ameplay his part ila wananchi wengi hatujielewi mpaka kila kichwa kitakapopata moto kwa hali ngumu kushika kasi. Mbowe is Great and a man of wisdom.
 
Wewe ni mgeni nchi hii? Spika alishaanza kusema kitambo kuwa mbowe harudi kwahiyo hiyo ilipangwa toka juu, niambie hizo nchi ulizotaja kuna sehemu wanaweka majeshi mtaani wakati wa uchaguzi?
Faru John kapigwa KO kihalali kabisa. 62K Gap ni zaidi ya kufuru, ila ni halali yake maana alikuwa mbunge wa Hai, aliyeishi na kufanya mambo yake Dar es salaam.
 
Back
Top Bottom