Abdalah Abdulrahman
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 222
- 202
Hakuna elimu iliyotelewa zaidi ya kutisha watu na majeshiChadema na ACT walipanga kabisa viongozi watoe matamko yatakayowapeleka kuwa chini ya ulinzi na sio kuwa mbele kwenye maandamano.Maandamano yafanywe na wananchi wasio na uwezo wa kutafakari.Baada ya serikali kuwatahadharisha wananchi na kuwapa elimu sahihi hayakufanyika maandamano.
Jambo pekee lililobaki ni kuadhibu Watanzania wote wakiwemo wanachama wao kwa kuharibu mahusiano ya Tanznaia na jumuia za kimataifa.Hili jambo litawaadhibu pia wao kwani serikali makini haitawaacha wafanye uhuni huu huku wakiwa wanakula bata na Watanzania wanakufa.
Ndio elimu hiyo kwa wale wanao amini ujinga wa kuingia mitaani na kuiba kwa kisingizio cha demokrasiaHakuna elimu iliyotelewa zaidi ya kutisha watu na majeshi
Nenda katetee waislam wenzio wapo jela huku wabakaji seya family wapo huruNdio elimu hiyo kwa wale wanao amini ujinga wa kuingia mitaani na kuiba kwa kisingizio cha demokrasia
Nenda katetee waislam wenzio wapo jela huku wabakaji seya family wapo huru
Akujibu kwa kweli. Sioni sababu za kumlaumu Mbowe, ameplay his part ila wananchi wengi hatujielewi mpaka kila kichwa kitakapopata moto kwa hali ngumu kushika kasi. Mbowe is Great and a man of wisdom.Wewe ni mgeni nchi hii? Spika alishaanza kusema kitambo kuwa mbowe harudi kwahiyo hiyo ilipangwa toka juu, niambie hizo nchi ulizotaja kuna sehemu wanaweka majeshi mtaani wakati wa uchaguzi?
Faru John kapigwa KO kihalali kabisa. 62K Gap ni zaidi ya kufuru, ila ni halali yake maana alikuwa mbunge wa Hai, aliyeishi na kufanya mambo yake Dar es salaam.Wewe ni mgeni nchi hii? Spika alishaanza kusema kitambo kuwa mbowe harudi kwahiyo hiyo ilipangwa toka juu, niambie hizo nchi ulizotaja kuna sehemu wanaweka majeshi mtaani wakati wa uchaguzi?
Mwenendo wa Mbowe wa kizenbe sanaKushinda na kutangazwa ni vitu viwili tofauti. Huyu DC wala msimpe ujiko, hakuna alichofanya kumkwamisha Mbowe. Ilishapangwa nani atangazwe.
Ulienda kuandamana?Kura za kwenye sandarusi?
Hiangewezekana kwa sababu hakuwa na watu wa kumsapoti,alishachokwa kwa usaniiUlitakiwa uwe mkali na jeuri pamoja na mbabe.
We unaweza kuthibitisha kuwa hazijaibwa?Kushinda na kutangazwa ni vitu viwili tofauti. Huyu DC wala msimpe ujiko, hakuna alichofanya kumkwamisha Mbowe. Ilishapangwa nani atangazwe.
Kwanini wahangaike kuiba wakati walisha tishwakwamba ole wake mtu atangaze kuwa mpinzani ameshinda?We unaweza kuthibitisha kuwa hazijaibwa?
Kura za kwenye sandarusi?