Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
Inakuwaje mwenyekiti wetu Freeman Alkael Mbowe kuwa baridii kipindi hiki ambacho uenyekiti wake ulipaswa kujidhihiri.
Inakuwaje kila kona watu wa CHADEMA wanaenguliwa kihuni na hakuna reaction ya maana kutoka ngazi ya juu ya chama zaidi ya tweets.
Kumtegemea mgombea urais Lissu ni kujidanganya. Lissu si mkomavu kuweza kusimama Kama mgombea urais na muongozaji zoezi kwa wabunge na madiwani watia nia. Lissu anachojua Nigo urais na Magufuli Basi.
Lissu hajui kule MOROGORO kina Minja Devotha kimewakuta nini. Hata akijua Lissu udiwani, Ubunge si mkazo.
Mbowe toka haraka kaa na viongozi wakuu wenzio wa vyama muone nini kifanyike.
Kadiri manvyositasita na kuzubaa ndivyo mnavyowapa nguvu wahuni kuwaondoa kwenye reli. Hali ikishazidi kuwa mbaya kwa wagombea udiwani na ubunge basi wananchi watapoteza Ari na CCM itafikia lengo la kuwa na wabunge wa CCM pekee bungeni. Mbatia viti maalum vya Rais.
Niwaambie tena nia ya kuufuta upinzani ipo palepale. Upinzani sio wananchi km mnavyojidanganya. Kuufuta upinzani ni kufuta wawakilishi wa wananchi.
Muwe makini , CCM mpya bado Ina lengo la kumwongezea Magufuli mihula.
Inakuwaje kila kona watu wa CHADEMA wanaenguliwa kihuni na hakuna reaction ya maana kutoka ngazi ya juu ya chama zaidi ya tweets.
Kumtegemea mgombea urais Lissu ni kujidanganya. Lissu si mkomavu kuweza kusimama Kama mgombea urais na muongozaji zoezi kwa wabunge na madiwani watia nia. Lissu anachojua Nigo urais na Magufuli Basi.
Lissu hajui kule MOROGORO kina Minja Devotha kimewakuta nini. Hata akijua Lissu udiwani, Ubunge si mkazo.
Mbowe toka haraka kaa na viongozi wakuu wenzio wa vyama muone nini kifanyike.
Kadiri manvyositasita na kuzubaa ndivyo mnavyowapa nguvu wahuni kuwaondoa kwenye reli. Hali ikishazidi kuwa mbaya kwa wagombea udiwani na ubunge basi wananchi watapoteza Ari na CCM itafikia lengo la kuwa na wabunge wa CCM pekee bungeni. Mbatia viti maalum vya Rais.
Niwaambie tena nia ya kuufuta upinzani ipo palepale. Upinzani sio wananchi km mnavyojidanganya. Kuufuta upinzani ni kufuta wawakilishi wa wananchi.
Muwe makini , CCM mpya bado Ina lengo la kumwongezea Magufuli mihula.