Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

Kwa hili sikupingi kabisa, malalamiko kwetu sisi huwa ni mengi endapo utakuwa nje ya mfumo.
 
Ubunge ni "career" inayolipa kuliko zote Tanzania. Imagine Muhongo, Kabudi, Mkumbo wameacha kushika chaki vyuoni wakaja bungeni.

Hakuna career inayolipa kama politics hapa bongo. Imagine 18m p/m kwa mtu anayefanya literally nothing bungeni, it's like going on vacation, it's theft kabisa.
 
Hivi niulize mtumishi wa serikali anapofariki na huku ameacha wategemezi kama watoto,mke, wazazi ambao walikuwa wanamtegemea marehemu, serikali haioni umuhimu wa kuwalipa mshahara hao wategemezi ambao uachwa kwenye lindi la umaskini badala yake inaona ni sawa tu kuwalimbikizia hao wenza wa viongozi mamilioni yote hayo.
 
Nakumbuka what’s wao walijiongezea posho

Wakiwa nje wanauona San mchezo

Wakiwa ndani… watakwambia kwa ground iz ze difflenti
Kwani ukiwa chawa kuna ulazima wa kujipoteza akili? Taifa limeshidwa kuajiri wataalam wa sector mbalimbali ikiwemo walimu na madaktari ambao hawatoshelezi kwa ukosefu wa fedha, unashadadia wabunge kujilipa kiasi hicho cha fedha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…