Pre GE2025 Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea

Pre GE2025 Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Yaani Mbowe ni kama anampigia kampeni Rais Samia, maana vyote anamsifia yeye tu. Kwani hajui hayo yalifanya kwa uonevu na Rais Samia ku act right ni jukumu lake?

====

Mbowe amesema wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea, kwani maridhiano hayo yalikuwa na faida, japokuwa kulikuwa na changamoto za hapa na pale.

Amesema maridhiano yamesaidia:
  • Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamekimbia nchi waliruhusiwa kurudi na sasa wanaishi nchini bila hoofu
  • Kuachiwa huru kwa mamia ya watu waliokuwa wamebambikiwa kesi za kisiasa. Kupitia maridhiano hayo yalikuwa na faida
  • Kuondoa katazo la mikutano ya hadhara na maandamano
Pia soma:
Mbowe anasema waliosema maridhiano yalikuwa hayafai walikosea sana, kwani waliwapa maadui sehemu ya kuwapigia, lakini ukweli ni kwamba maridhiano hayaepukiki kwenye mazingira ya kisiasa. Amewaquote na viongozi kiabaooooo kukazia point yake kuwa maridhiano hayaepukiki, ni muhimu sana kwenye siasa.

 
Wakuu,

Yaani Mbowe ni kama anampigia kampeni Rais Samia, maana vyote anamsifia yeye tu. Kwani hajui hayo yalifanya kwa uonevu na Rais Samia ku act right ni jukumu lake?

====

Mbowe amesema wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea, kwani maridhiano hayo yalikuwa na faida, japokuwa kulikuwa na changamoto za hapa na pale.

Amesema maridhiano yamesaidia:
Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamekimbia nchi waliruhusiwa kurudi na sasa wanaishi nchini bila hoofu

Kuachiwa huru kwa mamia ya watu waliokuwa wamebambikiwa kesi za kisiasa. Kupitia maridhiano hayo yalikuwa na faida

Kuondoa katazo la mikutano ya hadhara na maandamano
Mbowe ni master of politics. Hii hotuba tayari keshashinda uchaguzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Shanghai ndugu.
We ni mwehu, huwezi kumzidi mbowe kwa lolote lile.
Akili,busara,utulivu, kifedha,kiuongozi na kwa namna yoyote ile
Usikute jamaa ni kapuku wa kutupwa halafu anajidai kumkemea Mbowe. Walifanya hivyo kwa Zito saga haya umahili wake uliifikisha wapi ACT.
 
Wakuu,

Yaani Mbowe ni kama anampigia kampeni Rais Samia, maana vyote anamsifia yeye tu. Kwani hajui hayo yalifanya kwa uonevu na Rais Samia ku act right ni jukumu lake?

====

Mbowe amesema wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea, kwani maridhiano hayo yalikuwa na faida, japokuwa kulikuwa na changamoto za hapa na pale.

Amesema maridhiano yamesaidia:
  • Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamekimbia nchi waliruhusiwa kurudi na sasa wanaishi nchini bila hoofu
  • Kuachiwa huru kwa mamia ya watu waliokuwa wamebambikiwa kesi za kisiasa. Kupitia maridhiano hayo yalikuwa na faida
  • Kuondoa katazo la mikutano ya hadhara na maandamano
Mbowe anasema waliosema maridhiano yalikuwa hayafai walikosea sana, kwani waliwapa maadui sehemu ya kuwapigia, lakini ukweli ni kwamba maridhiano hayaepukiki kwenye mazingira ya kisiasa.
Amesahau kusema na uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyokuwa ''huru'' na jinsi watu wanaishi kwa uhuru bila kuogopa kutekwa.
 
R.i.P mzee ally kibao. Kusingekuwa na haya makubaliano ya ajabu labda ungekuwa hai leo
 
Kwamba Lissu ambaye karejea nchini,anaishi bila hofu,ilhali anavaa hadi bullet proof?
Hajui Soka na wenzake hawaonekani kwasababu za kisiasa?
Hajui George Sanga bado yuko ndani kwa kesi zenye mlengo wa kisiasa?
Hajui mzee Ally Kibao hatunae?
Mbowe apishe tu,Lissu aingie na Heche ashawishiwe agombee umakamu,nchi ichangamke,masna kati yao hao wako radhi wauawe ila wabaki kwenye misimamo yao.Nchi itachangamka sana.CCM walikua wanataka Mbowe atoke,saa hizi wanataka abaki,baada ya kuona mbadala wake ni HATARI zaidi.
 
Back
Top Bottom