Pre GE2025 Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea

Pre GE2025 Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chauma hoyee
20241221_124351.jpg
 
Wakuu,

Yaani Mbowe ni kama anampigia kampeni Rais Samia, maana vyote anamsifia yeye tu. Kwani hajui hayo yalifanya kwa uonevu na Rais Samia ku act right ni jukumu lake?

====

Mbowe amesema wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea, kwani maridhiano hayo yalikuwa na faida, japokuwa kulikuwa na changamoto za hapa na pale.

Amesema maridhiano yamesaidia:
  • Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamekimbia nchi waliruhusiwa kurudi na sasa wanaishi nchini bila hoofu
  • Kuachiwa huru kwa mamia ya watu waliokuwa wamebambikiwa kesi za kisiasa. Kupitia maridhiano hayo yalikuwa na faida
  • Kuondoa katazo la mikutano ya hadhara na maandamano
Mbowe anasema waliosema maridhiano yalikuwa hayafai walikosea sana, kwani waliwapa maadui sehemu ya kuwapigia, lakini ukweli ni kwamba maridhiano hayaepukiki kwenye mazingira ya kisiasa. Amewaquote na viongozi kiabaooooo kukazia point yake kuwa maridhiano hayaepukiki, ni muhimu sana kwenye siasa.
ambae hataki maridhiano na anayapinga bila kushukuru na kutambua kwamba ndiyo yaliyomuwezesha kua na imani na amani mpaka akarejea nchini baada ya kutorokea huko kwa mabwenyenye yanayombackup, ni Kibaraka Mkuu Pekee 🐒
 
Kwa hiki kinachoendelea mbowe ndio Dalali wa kuwauza wenzake yeye mwenyew aliyaponda maridhiano Leo anayasifia siasa mbaya sana
 
Wakuu,

Yaani Mbowe ni kama anampigia kampeni Rais Samia, maana vyote anamsifia yeye tu. Kwani hajui hayo yalifanya kwa uonevu na Rais Samia ku act right ni jukumu lake?

====

Mbowe amesema wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea, kwani maridhiano hayo yalikuwa na faida, japokuwa kulikuwa na changamoto za hapa na pale.

Amesema maridhiano yamesaidia:
  • Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamekimbia nchi waliruhusiwa kurudi na sasa wanaishi nchini bila hoofu
  • Kuachiwa huru kwa mamia ya watu waliokuwa wamebambikiwa kesi za kisiasa. Kupitia maridhiano hayo yalikuwa na faida
  • Kuondoa katazo la mikutano ya hadhara na maandamano
Mbowe anasema waliosema maridhiano yalikuwa hayafai walikosea sana, kwani waliwapa maadui sehemu ya kuwapigia, lakini ukweli ni kwamba maridhiano hayaepukiki kwenye mazingira ya kisiasa. Amewaquote na viongozi kiabaooooo kukazia point yake kuwa maridhiano hayaepukiki, ni muhimu sana kwenye siasa.

View attachment 3181641
Hayakuwa na faida zaidi hasara,ndio kiini na sababu ya kuendelea uenguaji wa kishamba.
 
We ni mwehu, huwezi kumzidi mbowe kwa lolote lile.
Akili,busara,utulivu, kifedha,kiuongozi na kwa namna yoyote ile
Anaowaongoza hawajamzidi kwa chochote.
Hii hoja yako mfu usije kujaribu kuitoa tena, hata raisi wako Samia wapiga kura wake wakiwemo baadhi ya mawaziri wake aliowachagua mwenyewe hawajamzidi kwa chochote.
 
Wakuu,

Yaani Mbowe ni kama anampigia kampeni Rais Samia, maana vyote anamsifia yeye tu. Kwani hajui hayo yalifanya kwa uonevu na Rais Samia ku act right ni jukumu lake?

====

Mbowe amesema wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea, kwani maridhiano hayo yalikuwa na faida, japokuwa kulikuwa na changamoto za hapa na pale.

Amesema maridhiano yamesaidia:
  • Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamekimbia nchi waliruhusiwa kurudi na sasa wanaishi nchini bila hoofu
  • Kuachiwa huru kwa mamia ya watu waliokuwa wamebambikiwa kesi za kisiasa. Kupitia maridhiano hayo yalikuwa na faida
  • Kuondoa katazo la mikutano ya hadhara na maandamano
Mbowe anasema waliosema maridhiano yalikuwa hayafai walikosea sana, kwani waliwapa maadui sehemu ya kuwapigia, lakini ukweli ni kwamba maridhiano hayaepukiki kwenye mazingira ya kisiasa. Amewaquote na viongozi kiabaooooo kukazia point yake kuwa maridhiano hayaepukiki, ni muhimu sana kwenye siasa.

View attachment 3181641
Maridhiano yapo kila sehemu SI jambo la kushangaza.Vita ya wenyewe kwa wenye Kuna maridhiano
 
Freeman Omar Bongo Mbowe.

Huyo jamaa haachii nafasi ya uenyekiti mpaka afie madarakani na akitoka hapo anamrithisha chama mwanawe James Mbowe.

Lissu ajitoe aunde chama chake. CHADEMA ni chama cha kisiasa chenye muundo wa kifalme
 
Amesema maridhiano yamesaidia:
  • Viongozi wa CHADEMA waliokuwa wamekimbia nchi waliruhusiwa kurudi na sasa wanaishi nchini bila hoofu
  • Kuachiwa huru kwa mamia ya watu waliokuwa wamebambikiwa kesi za kisiasa. Kupitia maridhiano hayo yalikuwa na faida
  • Kuondoa katazo la mikutano ya hadhara na maandamano

Katika hayo matatu, lipi si la kweli?
 
Freeman Omar Bongo Mbowe.

Huyo jamaa haachii nafasi ya uenyekiti mpaka afie madarakani na akitoka hapo anamrithisha chama mwanawe James Mbowe.

Lissu ajitoe aunde chama chake. CHADEMA ni chama cha kisiasa chenye muundo wa kifalme
Dr. Slaa amekiri kuwa yeye ndiye aliyesimamia uundwaji wa sheria ya kutokuwapo ukomo wa mgombea uenyekiti wa chama. Sasa ni wapi Mbowe amekosea? Udikteta wake uko wapi? Pengine watu hamuelewi maana ya demokrasia. Kumzuia mtu anayefuata katiba, huo ndio uvunjaji wa demokrasia. Kuwazuia watu wasichague au wasichaguliwe wakati katiba inaruhusu, huo ndio uvunjaji wa demokrasia. Demokrasia ni kuruhusu sauti za watu zisikike kwa kufuata utaratibu rasmi kama katiba. Iwapo kuna sheria inaonekana kuwa na ukakasi, watu hao hao walioitunga, waibadilishe kwanza, sio waitunge halafu wazuie isitumike wakati ikiwa hai, ni ajabu!
 
Back
Top Bottom