Mbowe warudishe Halima na wenzake kundini kwanza

Mbowe warudishe Halima na wenzake kundini kwanza

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mgogoro wa CHADEMA na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.

Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.

Hii itaifanya CCM itetemeke na CHADEMA iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.

Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
 
Mgogoro wa chadema na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.

Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.

Hii itaifanya CCM itetemeke na chadema iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini cdm ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.

Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
Kwan wana impact yoyote hata wasiporudishwa??
 
Mgogoro wa chadema na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.

Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.

Hii itaifanya CCM itetemeke na chadema iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini cdm ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.

Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
MKUU UPO SAHIHI HUO ULIKUWA MTEGO wenye AKILI TUMEUGUNDUA CHADEMA warudishe KUNDINI HALIMA na WENZAKE
 
Ukute wamepangiwa tozo ndefu wamegoma kuilipa hivyo hawawezi kurudishwa
 
Mgogoro wa chadema na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.

Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.

Hii itaifanya CCM itetemeke na chadema iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini cdm ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.

Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
Hao akina Mdee hapana. Uliona wapi mwanamke akadidisha mbele ya mwanaume?
 
Ukute wamepangiwa tozo ndefu wamegoma kuilipa hivyo hawawezi kurudishwa
kama wakirudishwa kundini hata ruzuku ya chama uliyozuiliwa utarudishwa kundini pia, wee veepe!!
 
Mgogoro wa chadema na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.

Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.

Hii itaifanya CCM itetemeke na chadema iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini cdm ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.

Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
Watutake radhi tu kwani CHADEMA ni kubwa kuliko mwanachama mmoja mmoja.
 
Mgogoro wa chadema na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.

Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.

Hii itaifanya CCM itetemeke na chadema iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini cdm ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.

Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
Mbona hawakukiri hayo walipohojiwa kikaoni?
 
Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
Umeandika vema kabisa. Lakini sasa huyu utamwamini kumpa nafasi kwenye kundi lako? Umemkuta amelala na mwanamume kitandani kwako, unafanyaje? (inaweza mfano huu umekwenda juu sana).

Akina Lowasa ni malaya wa kisiasa na kama Chadema at that time ingeliingia madarakani, wasingerudi CCM, Am I wrong?
 
Kwangu nashauri kila kipindi na siasa zake, kweli Iwapo wataonyesha nia ya kutubu warudishwe ili kuimarisha chama hasa kipindi hiki ambapo siasa zimebadilika tofauti na awamu ya tano,mabinti makamanda pamoja na mzee dr slaa warudishwe haraka kazi ichapwe. Kamati kuu itumie busara kuwarudisha hata kama watapoteza uongozi.
 
Kama Dr Slaa kasanehewa kwanini Halima asisamehewe ?
 
Chadema rudini nyuma mmeze ego zenu na mrudishe wale kina mama walahi
Mchango wao ulikuwa ni mkubwa sana na kwa kweli pengo waliloliacha ni kubwa sana!
 
Mgogoro wa CHADEMA na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.

Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.

Hii itaifanya CCM itetemeke na CHADEMA iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.

Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
Warudishweje kwa mfano?

Mkosaji hurudi mwenyewe baada ya kujutia kosa lake..!

Wewe ungesema, "CHADEMA iwasamehe" na Kisha uende kwa dada zako hao uwape taratibu za kufuata ili wasamehewe..

Kumbuka CHADEMA ni chama Cha siasa. Na chama Cha siasa ni watu. Itakuwa ni ujinga chama Cha siasa kukataa watu. Lakini watu hao sharti wawe ni wale wanaozingatia taratibu na kanuni za umoja..!!
 
Back
Top Bottom