kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mgogoro wa CHADEMA na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema.
Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.
Hii itaifanya CCM itetemeke na CHADEMA iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.
Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.
Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake.
Hii itaifanya CCM itetemeke na CHADEMA iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye na wengine kwanini ishindwe kutafuta muafaka na wasichana wao makamanda.
Nijuavyo mimi akina Halima walitumbukia kwenye mtego wa kimasilahi tu na vitisho baaasi.