Mbowe zaidi ya kulalamika na kuonesha wewe ni 'king'ang'a' kila siku kwenye press una mikakati gani ya kuifanya CHADEMA iwe moto?

Mbowe zaidi ya kulalamika na kuonesha wewe ni 'king'ang'a' kila siku kwenye press una mikakati gani ya kuifanya CHADEMA iwe moto?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

1736514488909.png
Nafatilia hizi press zinazofanywa kila mara na Mbowe, pamoja na press anazofanya Lissu. Tumeshamsikia Lissu akisema mara nyingi kuhusu kufanya reforms CHADEMA, kupambana na rushwa pindi atakapoingia, etc.

Ila ukifika kwa Mbowe, ni malalamiko mwanzo mwisho. Mimi nimekilea CHADEMA toka kinatoa kamasi hadi saivi kinakimbia, mara nilimfuta kamasi Lissu alipokuwa amepigwa risasi, mara hakuna ukomo bado nina nguvu za bull, bla bla bla!

Pia soma: Pre GE2025 - Hakuna ubishi tena baada ya press ya leo kuwa Mbowe ni CCM oyeee!

Una mikakati gani wa kuiondoa CHADEMA katika hali hii na kuhakikisha kinakuwa chama chenye nguvu ambacho tukifikiria kuwaondoa CCM basi tusisite kusema CHADEMA wanafaa? Mbali na kuwa king'ang'a kama Museven una kipi cha kuwashawishi wana CHADEMA kuwa ukipewa term nyingine hawatajutia maamuzi yao?:NoThanks:

Kazi kukalia kusema chama changu chama changu, unazidi kujivua ujue! Inaonekana hukutegemea utakuwa challenged, ilikuwa business as usual kujiendea endea tu bila kichwa, sasa imefika wakati wa kuwa na plani, huna yoyote! Imebaki FEZEA!:PepeHands::BearLaugh::BearLaugh:

1736513562256.png
 

Attachments

  • 1736514351473.png
    1736514351473.png
    2.7 MB · Views: 4
Wakuu,

Nafatilia hizi press zinazofanywa kila mara na Mbowe, pamoja na press anazofanya Lissu. Tumeshamsikia Lissu akisema mara nyingi kuhusu kufanya reforms CHADEMA, kupambana na rushwa pindi atakapoingia, etc.

Ila ukifika kwa Mbowe, ni malalamiko mwanzo mwisho. Mimi nimekilea CHADEMA toka kinatoa kamasi hadi saivi kinakimbia, mara nilimfuta kamasi Lissu alipokuwa amepigwa risasi, mara hakuna ukomo bado nina nguvu za bull, bla bla bla!

Una mikakati gani wa kuiondoa CHADEMA katika hali hii na kuhakikisha kinakuwa chama chenye nguvu ambacho tukifikiria kuwaondoa CCM basi tusisite kusema CHADEMA wanafaa? Mbali na kuwa king'ang'a kama Museven una kipi cha kuwashawishi wana CHADEMA kuwa ukipewa term nyingine hawatajutia maamuzi yao?:NoThanks:

Kazi kukalia kusema chama changu chama changu, unazidi kujivua ujue! Inaonekana hukutegemea utakuwa challenged, ilikuwa business as usual kujiendea endea tu bila kichwa, sasa imefika wakati wa kuwa na plani, huna yoyote! Imebaki FEZEA!:PepeHands::BearLaugh::BearLaugh:
Msiompenda, mwaka huu mtajinyonga!
Hiviiii, hakuna vyama vingine MKAVISHABIKIEEE!!? Kutwa kucha MBOWEE, MBOWEEEE! Kuna UDP kulee, hakina mwekezaji. Kuna kile TADEA, sijui ndicho alichokinunua Shibuda, nendeni mkamuongezee nguvu!
 
Msiompenda, mwaka huu mtajinyonga!
Hiviiii, hakuna vyama vingine MKAVISHABIKIEEE!!? Kutwa kucha MBOWEE, MBOWEEEE! Kuna UDP kulee, hakina mwekezaji. Kuna kile TADEA, sijui ndicho alichokinunua Shibuda, nendeni mkamuongezee nguvu!
Tulia wewe, Kuna ruzuku mnatafuna hapo Machame hizo ni kodi.
 
Wewe mleta hoja tunataka MBOWE alete moto Gani? Ahadi wewe unaufatilia tu huo uchaguzi hiyo ni ishara tosha kuwa cdm chini kamanda MBOWE ni moto wa kuotwa mbali Hadi ccm wanaweka mpira kwapani kwenyechaguzi za serikali za mitaa chezea MBOWE wewe
 
Retired usijifanye hujaona uzi huu

Mwambieni mwenyekiti wenu ukweli.

CHADEMA inahitaji reshuffle na uongozi mpya
 
@Retired usijifanye hujaona uzi huu
Nimepunguza sana kuandika haya ya uchaguzi wa chadema maana level zetu za ku analyse issues zinapishana sana. Nitajibu pale ninapoona kuna haja. sasa mtu akianza matusi huyo kweli kuna haja ya kupoteza muda kumjibu! Nimechukua msimamo huo!
 
Wakuu,

Nafatilia hizi press zinazofanywa kila mara na Mbowe, pamoja na press anazofanya Lissu. Tumeshamsikia Lissu akisema mara nyingi kuhusu kufanya reforms CHADEMA, kupambana na rushwa pindi atakapoingia, etc.

Ila ukifika kwa Mbowe, ni malalamiko mwanzo mwisho. Mimi nimekilea CHADEMA toka kinatoa kamasi hadi saivi kinakimbia, mara nilimfuta kamasi Lissu alipokuwa amepigwa risasi, mara hakuna ukomo bado nina nguvu za bull, bla bla bla!

Una mikakati gani wa kuiondoa CHADEMA katika hali hii na kuhakikisha kinakuwa chama chenye nguvu ambacho tukifikiria kuwaondoa CCM basi tusisite kusema CHADEMA wanafaa? Mbali na kuwa king'ang'a kama Museven una kipi cha kuwashawishi wana CHADEMA kuwa ukipewa term nyingine hawatajutia maamuzi yao?:NoThanks:

Kazi kukalia kusema chama changu chama changu, unazidi kujivua ujue! Inaonekana hukutegemea utakuwa challenged, ilikuwa business as usual kujiendea endea tu bila kichwa, sasa imefika wakati wa kuwa na plani, huna yoyote! Imebaki FEZEA!:PepeHands::BearLaugh::BearLaugh:

si kweli my lady,
unapotosha au kuwahadaa wadau wa JF,

mtu wa mitandaoni na mwenye press conference nyingi zaidi ni yule wa kutoa hutuba akiwa ughaibuni, mbele za mabwenyenye ya huko Magharibi yanayombackup, lakin hotuba ikihusu chadema ya Tanzania 🐒
 
Wakuu,

Nafatilia hizi press zinazofanywa kila mara na Mbowe, pamoja na press anazofanya Lissu. Tumeshamsikia Lissu akisema mara nyingi kuhusu kufanya reforms CHADEMA, kupambana na rushwa pindi atakapoingia, etc.

Ila ukifika kwa Mbowe, ni malalamiko mwanzo mwisho. Mimi nimekilea CHADEMA toka kinatoa kamasi hadi saivi kinakimbia, mara nilimfuta kamasi Lissu alipokuwa amepigwa risasi, mara hakuna ukomo bado nina nguvu za bull, bla bla bla!

Una mikakati gani wa kuiondoa CHADEMA katika hali hii na kuhakikisha kinakuwa chama chenye nguvu ambacho tukifikiria kuwaondoa CCM basi tusisite kusema CHADEMA wanafaa? Mbali na kuwa king'ang'a kama Museven una kipi cha kuwashawishi wana CHADEMA kuwa ukipewa term nyingine hawatajutia maamuzi yao?:NoThanks:

Kazi kukalia kusema chama changu chama changu, unazidi kujivua ujue! Inaonekana hukutegemea utakuwa challenged, ilikuwa business as usual kujiendea endea tu bila kichwa, sasa imefika wakati wa kuwa na plani, huna yoyote! Imebaki FEZEA!:PepeHands::BearLaugh::BearLaugh:

Hamuoni mapambano aliyopigana mtu Tena kipindi kigumu Cha udikteta mnabaki kubeza kwamajungu.
Ukiulizwa wewe kama wewe umefanyia nini kunisaidia chama hakuna kitu oote zaidi ni umbea na kurusha maneno machafu na mdomo wako wenye kaharufu kamjusi alobanwa namlango wiki ilopita
 
Wakuu,

Nafatilia hizi press zinazofanywa kila mara na Mbowe, pamoja na press anazofanya Lissu. Tumeshamsikia Lissu akisema mara nyingi kuhusu kufanya reforms CHADEMA, kupambana na rushwa pindi atakapoingia, etc.

Ila ukifika kwa Mbowe, ni malalamiko mwanzo mwisho. Mimi nimekilea CHADEMA toka kinatoa kamasi hadi saivi kinakimbia, mara nilimfuta kamasi Lissu alipokuwa amepigwa risasi, mara hakuna ukomo bado nina nguvu za bull, bla bla bla!

Una mikakati gani wa kuiondoa CHADEMA katika hali hii na kuhakikisha kinakuwa chama chenye nguvu ambacho tukifikiria kuwaondoa CCM basi tusisite kusema CHADEMA wanafaa? Mbali na kuwa king'ang'a kama Museven una kipi cha kuwashawishi wana CHADEMA kuwa ukipewa term nyingine hawatajutia maamuzi yao?:NoThanks:

Kazi kukalia kusema chama changu chama changu, unazidi kujivua ujue! Inaonekana hukutegemea utakuwa challenged, ilikuwa business as usual kujiendea endea tu bila kichwa, sasa imefika wakati wa kuwa na plani, huna yoyote! Imebaki FEZEA!:PepeHands::BearLaugh::BearLaugh:

Kampeni bado, lkn mkakati wa mwanzo kumuondoa lissu katkka uongozi ili apate muda mwingi wa kutukana maria space
 
Wakuu,

Nafatilia hizi press zinazofanywa kila mara na Mbowe, pamoja na press anazofanya Lissu. Tumeshamsikia Lissu akisema mara nyingi kuhusu kufanya reforms CHADEMA, kupambana na rushwa pindi atakapoingia, etc.

Ila ukifika kwa Mbowe, ni malalamiko mwanzo mwisho. Mimi nimekilea CHADEMA toka kinatoa kamasi hadi saivi kinakimbia, mara nilimfuta kamasi Lissu alipokuwa amepigwa risasi, mara hakuna ukomo bado nina nguvu za bull, bla bla bla!

Una mikakati gani wa kuiondoa CHADEMA katika hali hii na kuhakikisha kinakuwa chama chenye nguvu ambacho tukifikiria kuwaondoa CCM basi tusisite kusema CHADEMA wanafaa? Mbali na kuwa king'ang'a kama Museven una kipi cha kuwashawishi wana CHADEMA kuwa ukipewa term nyingine hawatajutia maamuzi yao?:NoThanks:

Kazi kukalia kusema chama changu chama changu, unazidi kujivua ujue! Inaonekana hukutegemea utakuwa challenged, ilikuwa business as usual kujiendea endea tu bila kichwa, sasa imefika wakati wa kuwa na plani, huna yoyote! Imebaki FEZEA!:PepeHands::BearLaugh::BearLaugh:

Wewe umekaa tu hufanyi kitu CDM unasubiri Mbowe akufanyie nini?
 
Hamia Burundi,,,, iwe mvua au jua yule mropokaji hawezi kuwa mwenyekiti CDM ! Mtu mwenyewe akili ziko mbele dakk 2, mara uchaguzi akimbilie huko kwa wakoloni , nani abaki kuongoza chama ?







Anasapoti ya mitandaoni na vijiwe samli huko mitaani ambao sio voters
 
Back
Top Bottom