Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba Maisha ya ccm huko Mbozi yamefika kikomo , hii ni baada ya Wananchi wote kukubaliana kwamba uwezo wa chama hicho kuleta maendeleo umekwisha.
Akihutubia Maelfu ya Wananchi katika kitongoji cha Shule , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi amewataka wakazi hao kuhakikisha Katiba mpya inapatikana hata kesho asubuhi ili viongozi wabovu wasipewe nafasi.
Sugu amewasomea tena wananchi hao mkataba wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Waarab , jambo lililozua masikitiko makubwa sana miongoni mwa wahudhuriaji.
Mambo yalikuwa hivi , kinachosikitisha ni ukubwa wa Mkutano wa Sugu kuonekana kuishinda mikutano ya Rwangwa.
Akihutubia Maelfu ya Wananchi katika kitongoji cha Shule , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi amewataka wakazi hao kuhakikisha Katiba mpya inapatikana hata kesho asubuhi ili viongozi wabovu wasipewe nafasi.
Sugu amewasomea tena wananchi hao mkataba wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Waarab , jambo lililozua masikitiko makubwa sana miongoni mwa wahudhuriaji.
Mambo yalikuwa hivi , kinachosikitisha ni ukubwa wa Mkutano wa Sugu kuonekana kuishinda mikutano ya Rwangwa.