voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Joyce Mukya??Huna hoja
Ni kweli hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joyce Mukya??Huna hoja
Ndio huyo ambaye ameleta hii thread🤣😂🤣🤣😄😆😩Huyu dada ndio yule mpenzi wa mbowe?
Hawezi kataa ndio yeye huyu. 😩😆😄😉😄🤣😂Joyce Mukya??
Ni kweli hii?
Mwendo!!!Mdogo mdogo
Wainallillah......Hakuna laana kubwa kama kuichagua CCM
Mungu ibariki CHADEMA[emoji173][emoji173][emoji173]Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba Maisha ya ccm huko Mbozi yamefika kikomo , hii ni baada ya Wananchi wote kukubaliana kwamba uwezo wa chama hicho kuleta maendeleo umekwisha.
Akihutubia Maelfu ya Wananchi katika kitongoji cha Shule , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi amewataka wakazi hao kuhakikisha Katiba mpya inapatikana hata kesho asubuhi ili viongozi wabovu wasipewe nafasi.
Sugu amewasomea tena wananchi hao mkataba wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Waarab , jambo lililozua masikitiko makubwa sana miongoni mwa wahudhuriaji.
Mambo yalikuwa hivi , kinachosikitisha ni ukubwa wa Mkutano wa Sugu kuonekana kuishinda mikutano ya Rwangwa.
View attachment 2753848View attachment 2753845
Pamoja na kwamba unaandika uongo , lakini hapa JF kuna sheria inakataza Name calling , kwa hiyo kuwa makini sana , usione nimenyamaza , unaweza kula BAN ya milele dk yoyote kuanzia sasa , uongo haujawahi kuwa hojaHawezi kataa ndio yeye huyu. 😩😆😄😉😄🤣😂
Hakika !Hakuna laana kubwa kama kuichagua CCM
Chama makini kipo KaziniTaarifa ikufikie popote ulipo , kwamba Maisha ya ccm huko Mbozi yamefika kikomo , hii ni baada ya Wananchi wote kukubaliana kwamba uwezo wa chama hicho kuleta maendeleo umekwisha.
Akihutubia Maelfu ya Wananchi katika kitongoji cha Shule , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi amewataka wakazi hao kuhakikisha Katiba mpya inapatikana hata kesho asubuhi ili viongozi wabovu wasipewe nafasi.
Sugu amewasomea tena wananchi hao mkataba wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Waarab , jambo lililozua masikitiko makubwa sana miongoni mwa wahudhuriaji.
Mambo yalikuwa hivi , kinachosikitisha ni ukubwa wa Mkutano wa Sugu kuonekana kuishinda mikutano ya Rwangwa.
View attachment 2753848View attachment 2753845
Noma sanaSugu Moto chini Sugu Moto chini yayayahyayayah yayahh🪕🎸🎺🎹📻🎬🎶🎵🎼
😂😂😂