Mbozi: CCM yaagwa rasmi, Sugu awasha moto wa Katiba Mpya

Kwenye kitabu changu kipya kiitwacho 'Divide and Rule' nita explore kuhusu ugawanyaji wa baadhi ya majimbo.
 
Mungu ibariki CHADEMA[emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi kataa ndio yeye huyu. πŸ˜©πŸ˜†πŸ˜„πŸ˜‰πŸ˜„πŸ€£πŸ˜‚
Pamoja na kwamba unaandika uongo , lakini hapa JF kuna sheria inakataza Name calling , kwa hiyo kuwa makini sana , usione nimenyamaza , unaweza kula BAN ya milele dk yoyote kuanzia sasa , uongo haujawahi kuwa hoja
 
Chama makini kipo Kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…