Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Mwanahabari wa TBC1 Mbozi Katala amesema kwamba Diamond Platnumz alikuwa na maisha magumu sana hapo mwanzo maana kuna siku aliwahi kwenda TBC1 na kumwomba poda. Ameongeza kuwa siku hiyo hakuingia pale na gari na hajui alitumia usafiri gani kufika pale.
Funzo: Usimdharau yeyote maana hujui yajayo.
Funzo: Usimdharau yeyote maana hujui yajayo.