Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Saudi Crown Prince Mohammed Bin Salman. Ni mdogo kiumri lakini ana haiba na authority ya kutawalaWho is that nigga ? Pale nimemjua tu alien wa Facebook tu
Huyo ni Saudi Crown Prince Mohammed Bin Salman. Ni mdogo kiumri lakini ana haiba na authority ya kutawala
Huyo Muyahudi ni kichwa balaaWho is that nigga ? Pale nimemjua tu alien wa Facebook tu
Huyu jamaa akiitawala Saudia waarabu weusi wataelimika na kuachana na maisha ya karne ya 7!
Huyo ni Saudi Crown Prince Mohammed Bin Salman. Ni mdogo kiumri lakini ana haiba na authority ya kutawala
Yuko vizuri upstairs ? au anapatana sana mabeberu ?Huyu jamaa akiitawala Saudia waarabu weusi wataelimika na kuachana na maisha ya karne ya 7!
Jamaa yuko vizuri aliandaliwa to mdogo. Ana ile authority na kucreate fear na ndio inahitajika Saudi Arabia.Nimemgugo uyu jamaa ni mtoto wa kishua kwa level za kidunia
Yuko vizuri upstairs ? au anapatana sana mabeberu ?
Ana akili za kuishi na watu wa aina zote.Nimemgugo uyu jamaa ni mtoto wa kishua kwa level za kidunia
Yuko vizuri upstairs ? au anapatana sana mabeberu ?
Akili au matope.....?!!!Ana akili za kuishi na watu wa aina zote.
Anaelewa kuwa Waarabu na waislamu wengi wamekumbatia mila za kale sanaa na ili kuwabadilisha ni lazima afanye vile ambavyo wao hawakuvizoea.
Mfano wanawake sasa hivi Saudi wanaendesha magari, wanatoka kwenye majumba yao pasipo wasimamizi n.k huu ni mwanzo tu, anaona viongozi wa Dubai walivyowahi kupata akili ambazo yeye pia anazo.
That nigger is a killer.Who is that nigga ? Pale nimemjua tu alien wa Facebook tu
Subiri awajazie misikiti jerusalem ndo mtamjua huyo mtu,nasikia viongozi wa israel wanataka kumpa saudi ndo asimamie nyumba za ibada pale jerusalem,badala ya jordan kana ilivyo kawaida jordan ndio husimamia, ikiwepo kukarabati makanisa na misikiti ndani ya jerusalem mashariki..Ana akili za kuishi na watu wa aina zote.
Anaelewa kuwa Waarabu na waislamu wengi wamekumbatia mila za kale sanaa na ili kuwabadilisha ni lazima afanye vile ambavyo wao hawakuvizoea.
Mfano wanawake sasa hivi Saudi wanaendesha magari, wanatoka kwenye majumba yao pasipo wasimamizi n.k huu ni mwanzo tu, anaona viongozi wa Dubai walivyowahi kupata akili ambazo yeye pia anazo.