MBS suti haimkai kabisa bora aendelee tu kuvaa vasi la asili ya Saudi Arabia

MBS suti haimkai kabisa bora aendelee tu kuvaa vasi la asili ya Saudi Arabia

Subiri awajazie misikiti jerusalem ndo mtamjua huyo mtu,nasikia viongozi wa israel wanataka kumpa saudi ndo asimamie nyumba za ibada pale jerusalem,badala ya jordan kana ilivyo kawaida jordan ndio husimamia,ikiwepo kukarabati makanisa na misikiti ndani ya jerusalem mashariki..
Mipaka lazima iwepo, huyu mtu yuko modernized sana hana fikra za karne ya 7 na kijangwani.

Liangalie sana Kanisa Katoliki ni kitu ingine ile
 
Mipaka lazima iwepo, huyu mtu yuko modernized sana hana fikra za karne ya 7 na kijangwani.

Liangalie sana Kanisa Katoliki ni kitu ingine ile
According to some estimates, since the 1960s, the Saudis have funnelled over USD 100 billion into funding schools and mosques all over the world with the mission of spreading puritanical Wahhabi Islam.

As a point of comparison, researchers estimate that the former Soviet Union spent about USD 7 billion exporting its communist ideology from 1920-1991.
 
Hivi kwa nini huyo jamaa wa facebook anapenda sana kuvaa ma-t-shirt ya kijivu??!?..ni nadra sana kumuona kavaa suti
 
Back
Top Bottom